Ndugu zangu wanajaii nimekuja kwenu kwa heshima zote kwa kuwa nyinyi ni wajuzi wa hili ninalotaka kuuliza ndugu zangu ipi fauda ya kuwa Na akaunti ya dola? Na je mtu mwenye kipato Kidogo Kama laki TATU hivi ndio mshahara wake kwa mwezi anaweza kuwa Na akaunti hiyo?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.