gateway
JF-Expert Member
- Jan 21, 2014
- 467
- 123
Habari zenu wakuu
Nahitaji kiwanja kiwe kati ya maeneo ya tegeta,tabata,kimara au mbezi ya kimara na maeneo ya kongowe ya mbagala....
kiwanja kisiwe mbali kutoka barabara kuu,kiwe kinafikika kwa urahisi kwa gari,kiwe jirani na huduma muhimu kama umeme na maji na kiwe tambarare...
Bajeti yangu ni mil 7 tu....
kipo kivule-kurutini,21m*16m.mita 50 kutoka barabara kuu ya mtaa.bei 4mil.pm if interested