Bajaj na Piki piki za mikopo..

Bajaj na Piki piki za mikopo..

mkopo tunahitaji. tunaomba maelezo yaliyojitosheleza.. sio mambo ya namba za simu...
 
Mkuu, nahitaji moja lakini naomba funguka zaidi ni namna gani nitapata huo mkopo na nikilipa 82000 Mara 24 inazidi 1700000! Na hiyo laki 5 ya dep nikimaliza kulipa deni narudishiwa?
Fekon ni 1,700,000 jumlisha asilimia 15 ni 1,955,000 ukitoa deposit ya laki tano balance ina baki 1,455,000 ambayo unatakiwa kulipa ndani ya miezi 24
 
Kifupi mleta mada hajui biashara, unapaswa kuweka tangazo lako wazi iwezekanavyo ili kupunguza idadi ya maswali toka kwa watu.
 
Wanatoa Sanlag kibao cha mbuizi kwa shilingi 1700000 ambapo utadeposite 500,000 kwanza hivyo kama ukilipa na riba ya 20% ya 2040000 ambapo kila mwezi utapaswa kupeleka 82000 kwa miezi 24 utakuwa unemaliza deni.

WAKATI huo huo vijana wanakuleta 50000 kwa wiki


Sent from my iPad using JamiiForums
 
Huo sio mkopo Na hauna faida Na mlala hoi hapo washakuuzia Na faida juu Na RIBA juu Na wewe utapata hasara kubwa ya kupoteza muda nk
 
Back
Top Bottom