Recent content by ms emmaa

  1. ms emmaa

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kushika simu ya mwenza wako

    Hivi Nyie wanaume Kwanini mnapenda kushika simu zetu lkn zenu ni mwiko yaan hamtaki kabsa mnakuwa na shida gani? Na je ni sahihi kupekuana simu mkiwa kwenye mahusiano?
  2. ms emmaa

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Namkataaje mwanaume nisiempenda?

    Mwambie tu hauko tayar kuwa kwny mahusiano kwa sawa ,
  3. ms emmaa

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Utapeli wa huyu dada wamtokea puani

    Hii inaitwa ajali kazini [emoji23] Kwanz unaendaj choon unaacha kinywaji mezani ni ushamba huo watu tunatmbea na vinywaji vyetu dunia imechafukwa
  4. ms emmaa

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanawake weusi wazuri jamani dah 😋

    Mmmh kaz ipo
  5. ms emmaa

    JamiiForums Tanzania Asante serikali kwa ajira, ila wanajua kutunyoosha!

    Vumilia tu bora kupata laki nne kuliko kurud kutokuwa na kaz
  6. ms emmaa

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mpenzi wangu anapenda ngono sana, nashindwa kumhimili

    Kumbe kikao kilieleweka [emoji23][emoji23][emoji23]sasahv tunawakomoa tu
  7. ms emmaa

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Usikate tamaa

    Usikate tamaa kwenye maisha hata kama unapitia magumu kiasi gani, simama tena jikaze na songambele, usiogope kuanza upya haya matatizo unayopitia leo ipo siku yatakuwa ni kama historia. Usimkufuru Mungu Bali ushukuru kwa kila unalopitia na jitahd kuwa imara na kukabiliana nayo nakutakia kila la...
  8. ms emmaa

    JamiiForums Tanzania Selection za Muhimbili (MUHAS) zinanichanganya sana

    Sorry jmn Kuna mdogo wang nimemsaidia kuapply hapo lakn kulog In inakataa
  9. ms emmaa

    JamiiForums Tanzania Uzi maalum wa kupeana Likes: Comment chochote upate "Like"

    Heee[emoji276]nimeshangaa [emoji23]nikajua hao watu wote wamepita kwny uzi wang
  10. ms emmaa

    JamiiForums Tanzania SI KWELI Mwanamke akifanya mapenzi kwa mara ya kwanza lazima atoke damu

    Aaah hii science ya wap mkuu [emoji23][emoji23]ya ruvuma ama geita
  11. ms emmaa

    JamiiForums Tanzania SI KWELI Mwanamke akifanya mapenzi kwa mara ya kwanza lazima atoke damu

    [emoji23][emoji23][emoji23]
  12. ms emmaa

    JamiiForums Tanzania SI KWELI Mwanamke akifanya mapenzi kwa mara ya kwanza lazima atoke damu

    [emoji276][emoji276]
  13. ms emmaa

    JamiiForums Tanzania SI KWELI Mwanamke akifanya mapenzi kwa mara ya kwanza lazima atoke damu

    Dah nimecheka sana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kila mtu na maumbile yake ndugu yang [emoji23][emoji23][emoji23]
  14. ms emmaa

    JamiiForums Tanzania SI KWELI Wanaume pia hupata mzunguko wa hedhi kama wanawake

    [emoji23][emoji23]doh
  15. ms emmaa

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi, nimemaliza (UDOM) Bachelor degree in instructional design and information technology(IDIT).

    Ndugu yang ajira huku mtaan ni ngumu yaan watu wapo miaka 6 mtaan Hakuna insh Kwa kukushaur tu usitegemee 100%kwny kuajiriwa Kaa jitafakar angalia namna ya kujiajir Huku ukiwa unaomba kaz kwny sehem zngn ila usiweke matumain kwny kuajiriwa
Back
Top Bottom