Lanlady
JF-Expert Member
- Feb 27, 2019
- 1,423
- 4,730
Kama mtu huna ajira ni afadhali utafute tu namna ya kujiajiri.
Ajira za serikali zina changamoto zake nyingi!
Fikiria mtu anaajiriwa kwa mshahara wa laki 4 kwa mwezi.
Kama haitoshi mtu huyu ananyimwa nyongeza ya mshahara kwa kigezo cha ajira mpya ilihali gharama za maisha ziko juu kwa wote.
Ajira za serikali zina changamoto zake nyingi!
Fikiria mtu anaajiriwa kwa mshahara wa laki 4 kwa mwezi.
Kama haitoshi mtu huyu ananyimwa nyongeza ya mshahara kwa kigezo cha ajira mpya ilihali gharama za maisha ziko juu kwa wote.