ms emmaa
Senior Member
- Jun 13, 2023
- 119
- 207
Usikate tamaa kwenye maisha hata kama unapitia magumu kiasi gani, simama tena jikaze na songambele, usiogope kuanza upya haya matatizo unayopitia leo ipo siku yatakuwa ni kama historia. Usimkufuru Mungu Bali ushukuru kwa kila unalopitia na jitahd kuwa imara na kukabiliana nayo nakutakia kila la kheri kwenye safari yako ya maisha