Recent content by Mrs Official

  1. Mrs Official

    Makanisa ya kiroho mnatupeleka wapi?

    Nilidhani Mimi tu sikumuelewa!
  2. Mrs Official

    Makanisa ya kiroho mnatupeleka wapi?

    Umetoka nyumbani unaamua kuingia kanisani japo kupunguza stress za ugumu wa maisha na matatizo mbalimbali lakini humo kanisani unakutana na michango isiyoisha tena kwa lazima. Nijuavyo mimi sadaka ni kile ambacho mtu amejaaliwa kukipata Sasa eti kuna makanisa mpaka wameweka viwango...
  3. Mrs Official

    Ya RADA kujirudia tena! Usiri wa ununuzi ni wa nini?

    Tupigwe tu maana hakuna namna nyingine!
  4. Mrs Official

    Tuseme ukweli: Tv nyingi za kichogo zina ubora wa picha kushinda hata Flat screen

    Hizo milioni NNE kwa usawa huu si bora ninunue kagari hata kama kanafanana na ka Mr Bean
  5. Mrs Official

    Sijawai muona beki tatu tasa

    Kwa hali hii ndio maana ndoa nyingi hazidumu.
  6. Mrs Official

    Fridge inauzwa

    Vipi umeshauza?
  7. Mrs Official

    Niliyoyashudia Morogoro sitasahau

    Mbona hii ya mwisho imekaa kaa kama kitimoto
  8. Mrs Official

    Niliyoyashudia Morogoro sitasahau

    Watu wamezoea wale mbwa koko wa uswahilini wanaokulaga mavi ya walevi
  9. Mrs Official

    Niliyoyashudia Morogoro sitasahau

    Dah..! Nilitegemea kukutana na koment kama hii..ukiangalia na hizo picha za passport size za hivo vijibwa yaani nimecheka mpaka bar nzima wananitazama[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
  10. Mrs Official

    Kama ulishawahi kunywa chai ya kuunguza Sukari tukutane hapa

    Hiyo nimekunywa sana home miaka ya 1995/96
Back
Top Bottom