Kama ulishawahi kunywa chai ya kuunguza Sukari tukutane hapa

Huku mikoani life hilo lipo mpaka kesho.
Kuna hii nyingine:
Kama kupika pilau unaona litakupotezea muda, pika wali wa kawaida wa maji, halafu vaa miwani ya jua. Hapo utakuwa unaona pilau.
Hapo ume solve rangi
vip kuhusu ladha.
 
Kwa wale wenzangu na mimi tuliowahi kunywa chai ya kuunguza sukari kama majani ya chai tukutane hapa.

Chai ile ilikuwa inatengenezwa kwa kuchukua Sukari unaiweka kwenye sufuria iliyopo motoni baada ya hapo sukari itayeyuka na kuungua kidogo alafu unachukua maji unaweka basi kitu kinakuwa Cheusi kama umeweka majani ya chai na ilikuwa tamu tu.

Kama ulishawahi kunywa hiyo chai kweli udogoni mwako au ata sasa hivi basi utakuwa umepitia maisha halisi ya mtanzania.



Tuambie hapa kama wewe ulishawahi kuinywa na inakukumbusha wapi kipindi hicho.!?

.
Hiyo nimekunywa sana home miaka ya 1995/96
 
Afadhali hata wewe ulikuwa na sukari ya kuunguza, wenzio tulikuwa tunapasha maji ya moto tuuu. Halafu mguu barabarani, na leo tumemake
 
Mimi Chai zangu za rangisiwekagi majani,za maziwa pekee ndo naweka majani,nikajaribu leo kuunguza sukari jamani najuta chai mbaya,jamani mbaya hasa,mbaya sana najuta kwanza hata viungo vyangu havijasikika.
Nimekoma sirudii tena
 
Kwa wale wenzangu na mimi tuliowahi kunywa chai ya kuunguza sukari kama majani ya chai tukutane hapa.

Chai ile ilikuwa inatengenezwa kwa kuchukua Sukari unaiweka kwenye sufuria iliyopo motoni baada ya hapo sukari itayeyuka na kuungua kidogo alafu unachukua maji unaweka basi kitu kinakuwa Cheusi kama umeweka majani ya chai na ilikuwa tamu tu.

Kama ulishawahi kunywa hiyo chai kweli udogoni mwako au ata sasa hivi basi utakuwa umepitia maisha halisi ya mtanzania.



Tuambie hapa kama wewe ulishawahi kuinywa na inakukumbusha wapi kipindi hicho.!?

.
Daah ebwana umenikumbusha mbali sana...kipindi hicho nikiwa chalii tu tunakaa maeneo ya Mikanjuni pale Tanga! Around 1990's mama amepika sana hiyo chai, and it was enjoyable enough!!!
 
Kwa wale wenzangu na mimi tuliowahi kunywa chai ya kuunguza sukari kama majani ya chai tukutane hapa.

Chai ile ilikuwa inatengenezwa kwa kuchukua Sukari unaiweka kwenye sufuria iliyopo motoni baada ya hapo sukari itayeyuka na kuungua kidogo alafu unachukua maji unaweka basi kitu kinakuwa Cheusi kama umeweka majani ya chai na ilikuwa tamu tu.

Kama ulishawahi kunywa hiyo chai kweli udogoni mwako au ata sasa hivi basi utakuwa umepitia maisha halisi ya mtanzania.



Tuambie hapa kama wewe ulishawahi kuinywa na inakukumbusha wapi kipindi hicho.!?

.
Daah!umenikumbusha mbali sana enzi hizoo ukiona majani ya chai hayaonekani,nilishawahi Fanya huo mchezo,ukiiunguza unaweka maji chai tayari,nikiona nimeunguza nyingi natengeneza karatasi naimimina sukari niliyoiunguza kiasi inakuwa sukari gulu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom