Kylan
Member
- Feb 5, 2017
- 54
- 20
Duh!!!.. nimecheka mpaka basi.Huku mikoani life hilo lipo mpaka kesho.
Kuna hii nyingine:
Kama kupika pilau unaona litakupotezea muda, pika wali wa kawaida wa maji, halafu vaa miwani ya jua. Hapo utakuwa unaona pilau.