Jinsi nionavyo; vyema ukipata walau nafasi, si mbaya ukapata kupitia miongozo hii kutoka BOT! Kuhusiana sifa na mahitaji muhimu hili kupata kibali cha biashara ya ukopeshaji, kote kama ni kampuni au mtu binafsi. Kisha kutoka hapo, wataalamu wetu watakupa madini zaidi.
“Kuna abiria wanaoingia mkoa Dar es salaam na kushushwa katika stendi ya Magufuli lakini wanahitaji mabasi hayo yawafikishe mjini kwenye vituo vya mabasi vilivyojengwa na sekta binafsi, kwahiyo Mkuu wa Mkoa akikuta na wadau hao wataona namna nzuri ya kusimamia suala hilo”
Hapa ndio kwenye shida...
Yote kwa yote, haijalishi kama kuna unyonyaji au la! Kweli kabisa, hakuna kote duniani kuliko na uwekezaji kibiashara bila marejesho.
Hapo kwenye mikataba mikataba, isijekuwa inakuja kwa Msuva style (lugha gongana) na upande wa pili kushindwa kuelewa takwa la kimkataba tangu awali.
Chanzo kikubwa kinachopelekea hizi network marketing (Business) kuendelea kushamiri, kuleta sintofahamu na kurudisha nyuma harakati za ukombozi wa kiuchumi kwa wanajamii ni uelewa/ufahamu juu ya mfumo na namna ya uendeshaji wake.
Twendeni na hii; kuna ule msemo usemao "Mjanja wa leo ni mjinga...
Mkuu kama watangulizi hapo walivyukuelekeza, pita kwa mwanasheria aliyekaribu na wewe atakutengenezea nyaraka ya kisheria (Deed poll) ambayo itaonyesha kuwa unatambulika kwa majina unayoyahitaji sasa na kuyakana yale ya zamani! Mara baada ya kukamilika itapaswa kusajiliwa kwa wizara ya ardhi...
Logical kuna taswira yenye kuonyesha viashiria vya wazi kuwa mke mtarajiwa/ mchumba kuwa amefikia ukomo na kushindwa kumstahimili wifi yake, ambaye inaonekana kwa namna moja au nyingine alikuwa anamkwaza kwa muda mrefu sana. Kwa dhana hii ni wazi kuwa mchumba hakuwa na kusudio la kosa bali...
Hivi mkuu, kwa haya magari ya Mbeya kuna utaratibu gani juu ya nauli Kwa abiria wanaoshukia njiani kama Iringa? Je wanalipa nauli moja na wale wa Mbeya mkuu?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.