Recent content by Mr Surplus Economy

  1. Mr Surplus Economy

    Enyi wanawake acheni ligi na wanaume mtaumia

    Ni noma mzee shikilia hapo hapi
  2. Mr Surplus Economy

    Naomba app nzuri ya kupakua movies tafadhali jina lake

    Mwamba unatishaaaa[emoji109][emoji109][emoji109]
  3. Mr Surplus Economy

    Mwanamke huyu anadaiwa kuwa nyuma ya mafanikio ya Dokta Cheni

    Duh kumbe wameshaachana? Kweli ndoa za sikuiz maza fanta kabisa!!!
  4. Mr Surplus Economy

    Picha: Waziri Mkuu Kassimu Majilwa akiwa na Paul Makonda mwenezi wa CCM taifa

    Huyu pm nae mtu wa ajabu sana manake amerusu yeye ageuzwe jalala... Hela kweli nzuri lakini ukijigeuza mtumwa wake utu wako unatoweka
  5. Mr Surplus Economy

    Mbinu waliotumia kampuni ya Avis kutawala soko la magari ya kukodisha Marekani

    Walifanyaje sasa mbona kama uzi haujajitosheleza? Sawa umesema walitumia "Against Positioning" ila hujasema ilihusisha nini
  6. Mr Surplus Economy

    Mnaanzisha vipi maongezi na pisi kali inayopita zake tu?

    Hiyo pekee ni courage tosha [emoji1787][emoji1787]... Siyo kila mtu ata afodi kujitoa
  7. Mr Surplus Economy

    Mnaanzisha vipi maongezi na pisi kali inayopita zake tu?

    Hiyo ni simpo sana sema mara nyingi hamna formula ya moja kwa moja. Kikubwa ni wewe kwanza usiwe na aibu hafu kubali kuonekana chizi kwa muda yani mpaka pale atakapoingia kwenye angle zako.
  8. Mr Surplus Economy

    Asali inahitajika

    Asali mbichi au
  9. Mr Surplus Economy

    Bunge lapitisha Muswada unaotaka wake wa Marais na Maspika wastaafu kulipwa kiinua mgongo

    Ningekuwa na uwezo ningegoma kuendelea kulipa kodi nchi hii. Ni kuwafaidisha watu tu [emoji20]
  10. Mr Surplus Economy

    GUMZO: Al Ahly ageuka kibonde baada ya mechi na Simba

    Mimi ni shabiki wa wana lunyasi lakini naomba niseme kwamba mpira wa sasa umebadilika mkubwa sasahiv watu wanacheza kitu kinaitwa Economic Football kwa maana ya kuwa Kama uliangalia mechi vizuri kwa % kubwa sana National Ahly hawakuwa na presha sana ya mchezo sababu walikuwa wana uhakika kwamba...
Back
Top Bottom