Hiyo ni simpo sana sema mara nyingi hamna formula ya moja kwa moja. Kikubwa ni wewe kwanza usiwe na aibu hafu kubali kuonekana chizi kwa muda yani mpaka pale atakapoingia kwenye angle zako.
Mimi ni shabiki wa wana lunyasi lakini naomba niseme kwamba mpira wa sasa umebadilika mkubwa sasahiv watu wanacheza kitu kinaitwa Economic Football kwa maana ya kuwa Kama uliangalia mechi vizuri kwa % kubwa sana National Ahly hawakuwa na presha sana ya mchezo sababu walikuwa wana uhakika kwamba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.