kabla ya kuoa /kuolewa chukua mida was kutosha kupima akili ya huyo anarkuita bebi au unayemwita bebi. .wapo hata wanaume wanaofata wanawake wenye pesa kwa swaga zote za kujifanya wanajua kupenda ili tu wapate kitonga flanii. .mfano .mama ake Na Diamond na yule jamaa 😄🤗🤗🤗ukinikoti mi simo...
naomba na wa upandewa pili ledisss museme ukweli na nyinyi mbona comment ni sese tuu. hau hamjawahi kuwatokea mabaharia kimasihara na wakajikuta wanaenda uvinza kuchimba chumvii
Inaeza ikawa kweli ..jambo zuri kuzingatia ni lips za kiume. Hazipigwi lipstiki wala lips wanja. Wala Nene yani. A man is a man and he is always smart and Natural.... .kuhusu kuwa na uwezo wa Kukiss ni jitihada binafsi za MTU. Ila kuna changamoto sometime pale mnapokutana Me .una ka mdomo na ke...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.