Wanadamu nani ametupa haya mamlaka ya kuhukumu imani za watu???
Ingekua busara kuheshimu imani ya mtu na sio kutumia lugha za kejeli kiasi hiki..
Kama unaona dhehebu lako ndilo sahihi kuliko la mwingine ni vizuri kuwa kuheshimu wengine
Sent using Jamii Forums mobile app
serikali ikamate wauza unga maana hawa ndo wanaoharibu taifa la leo ba kesho hasa vijana
this is why mataifa kama china wanaua wauza madawa ya kulevya kwa sababu ni bora kumwondoa mmoja anayesupply ambaye kumpata inawezekana kuliko kupoteza a lot of resource dealing with hawa watu wa mwisho
sidhani kama kila msichana/mvulana utakayekua naye kwenye mahusiano itakua ni kumwacha aende challenge zipo so ni kuzikabili "we dont run away from problem we face them and solve them"
love is just one big illusion as you try to forget ni ngumu kumuacha msichana /mvulana uliyempenda kwa dhati it takes time na wakati mwingine mtu unajipa moyo that maybe kama nikitia juhudi mambo yataenda vizuri
Madereva wengi wa magari madogo hawajui sheria ndo chanzo cha leo japo mataa yalikua hayafanyi kazi lakini toka lini utafanya u_turn eneo kama lile??? Pale dereva wa brt alijitahidi kumkwepa ili kupungua athari ndo maana brt imegongwa ubavuni.
Suala la upanawa barabara sio chanzo cha ajali ni...
habari wanajf wenzangu.
naomba msaada jinsi ya kutuma nyimbo whattsup using i phone4 and 4s kwa sababu sijaona link ya kuupload audio files kwenye whattsup and is there any way that i can store the audio files niliZotumiwa kwenye whattsup kwenye itunes???au ntawezaje kuzistore na kuweZa kuzoplay...
kwa wale waliopitia elimu ya ufundi hasa katika taasisi ya technolojia ya dar es salaam(DIT) mtakua mnamkumbuka mwalimu huyu wa electronics mr Mtangoo ambaye kwa sasa hatunaye tena duniani.
RIP mr Mtangoo tulikupenda ila mungu kakupenda zaidi
Habari wana JF wenzangu,
Naombeni msaada kwenye king'amuzi cha star times most of channel are not available even TBC na channel ten nnatumia antenna yao ya kawaida (yagi ulda) na nimelipia kifurushi still naona itv,star tv,eatv even tv1 haipo nipo maeneo ya mwika msae kilimanjaro.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.