Recent content by mr never give up

  1. M

    JamiiForums Tanzania Kwaheri Wayne Rooney japo usitegemee kuenziwa Manchester United

    Kesho kutwa anakuja Tz, mchango wko hautasahaulika oldtraford
  2. M

    JamiiForums Tanzania DC Kinondoni, Ally Hapi ajivua sakata la Mdee

    Cku zote unaposema ukweli dhidi ya serekal, unaonekana unakwenda kinyume na mabwana wakubwa, na kila cku tumezowea kuwaona wapinzani tuu wakisekwa n
  3. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwanini unachezea hisia za mtu anayekupenda?

    Ivi wadau! Inakuwaje kuchezea hisia za mwenzio ilhali ukijuwa wazi kuwa anakupenda kwa dhati?
  4. M

    JamiiForums Tanzania Ukirudishwa nyuma miaka 5, 10, 15 au 20, ukapewa sekunde 30 za kujishauri, utajishauri kitu gan.?

    Ninge kubali kuanzisha mahusiano ya kimapenz na mmoja kati ya wajukuu wa rais mstaafu wa znz, but kwa kuendkeza fikra potof nikaipoteza nafac ivi ivi, saif naijutia
  5. M

    JamiiForums Tanzania 2020 Mh. Rais JPM aendelee sbb he is the best President ever, kura ya nini? He is REAL..!

    Usijaribu kuwa kitunguu maji ukamliza mkataji, post ixo peleka Chato uko na sio kwa wenye akili zao, fani yko ni kupiga debe tuu.
  6. M

    JamiiForums Tanzania hellow!

    Ahsante sna mkuu
  7. M

    JamiiForums Tanzania hellow!

    Habari zenu wadau na watanzania wenzangu, ni member mpya wa jf hivyo naomba tushirikiano wenu ktk hatuwa zote
  8. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mume wangu haniridhishi ktk tendo la ndoa.

    Huo sio Shauri mzur hta kidg, hem imergine mtu qnakuja umpe ushauri juu yakasa wke a uwo halaf unamshaur hivyo, iv kweli uko serious na kutoa ushaur?
  9. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mume wangu haniridhishi ktk tendo la ndoa.

    Mmmmh makubwa!! Ila hakuna kinachoshindikana ktk maongez. Jitahd kukaa nae chini na kuwa mpole sna na pia kuwa maridhia kwke, huyo ni binaadam unapomfanyia mazur na kumcare zaid, nafc yke itamsuta.
  10. M

    JamiiForums Tanzania Jiji la Dar chini ya UKAWA latwaa tuzo ya dunia!

    Hongera sna ukawa kwa kuongoza jiji vizur had likafanikiwa kupta tunzo ya dunia. Mungu ibarki Tanzania chini ya ukawa
  11. M

    JamiiForums Tanzania Kwani ni lazima kudanganya?

    Kudanganya ktk zama hizi kumekuwa kma dozi jamii. Ktk secka zote hili jmbo unakutana nalo, ila wa kulaumiwa ni wazee kwan wao ndio wenye jukumu kubwa la kuwapa malez bora watoto wao. Mtoto unapomlea ktk mazingra ya kumuogopa mungu na kujuwa madhara ya kusema uongo atakulia vile vile had ukubwani...
  12. M

    JamiiForums Tanzania Wanafunzi wakutwa na bangi na viroba shuleni, nani alaumiwe?

    Kuondolewa kwa adhabu za viboko mashuleni kunawapa wanafunzi jeuri na kiburi, hivyo wanaweza kufanya utovu wa nidham bila kujali mwalimu anasema nini. Pia udogo wa umri wa walimu hususan wamawke, kma tujuavyo wanafunzi ni aina flani ya vichaa wawapo mashuleni, hivy wanahitaj kutishwa zaid ila...
Back
Top Bottom