Kwani ni lazima kudanganya?

Kwani ni lazima kudanganya?

Uongo uongo na ka umbea kidogo ni kama mila na desturi ya mtanzania halisi.Maisha yanatufanya kuwa hivyo
 
Uwongo mara nyingi unatumika kumsaidia mtu au kumuokoa na majanga
 
Kwani Mpaka Mtu Unamdanganya Msichana Unatafuta Nini Kwake? Sabuni,mafuta,v-toys Zipo Kwani Kwao Kuna Jipya Zaidi Ya Kutoa Kimiminika Kinachouma Tu?
 
Mambo yepi mkuu?

1. Mtu hajasoma lakini atafanya namna hata ya kupata cheti
2. Una mume au mke ukiulizwa unasema hujaoa/kuolewa
3. Umezaliwa miaka ya 1970 huko lakini kila mwaka una miaka 30
4.Unafanya kazi wizara moja wapo ya serikali lakini ukiulizwa unasema unafanya kazi usalama wa taifa
5. Hapa jamii forums wewe kila kitu unajua
6. Unaandika unaenda site kumbe hata kiwanja huna
 
Kudanganya ktk zama hizi kumekuwa kma dozi jamii. Ktk secka zote hili jmbo unakutana nalo, ila wa kulaumiwa ni wazee kwan wao ndio wenye jukumu kubwa la kuwapa malez bora watoto wao. Mtoto unapomlea ktk mazingra ya kumuogopa mungu na kujuwa madhara ya kusema uongo atakulia vile vile had ukubwani kwake
 
Ila kiukweli katika maisha uongo unatakiwa ila usizidi kiwango mpaka ukaumiza mtu.

Kuna watu wamepata wenza kwasababu ya uongo(unapomtongoza mwanamke na ukamwambia kila kitu cha ukweli pasipo kumdanganya, ni lazima atakukatalia)

Kuna watu wamepata kazi kwasababu ya uongo

Kuna watu biashara zao zimekuwa kwasababu ya uongo(tena hapa ndio kuna uongo uliopitiliza, maana ukijifanya mtakatifu biashara yako itabaki hapo hapo.)

Kuna watu wamejenga kwasababu ya uongo.

Kuna ndoa/mahusiano yamepona kwasababu ya uongo.

Hivyo uongo katika maisha unasaidia na umeokoa wengi.
 
Id zenu tu za uongo. Still mnadiscuss uongo na kujifanya watakatifu???
 
"Kusema ukweli kuna madhara gani?"
Kusema ukweli kuna faida na hasara zake pia mkuu.... Madhara yake mfano ni kujenga chuki..watu watase wewe mjuaji sana na unapenda sifa....n.k

"...Kwanini watu wanapenda sana kudanganya? Bila kudanganya utakufa?"..

Watu wanapenda sana kudanganya ili wawe huru, wawe salama au watimize jambo lao kwa wakati husika.. BILA KUDANGANYA HAUWEZI KUFA MKUU..

Nahitimisha kwa kusema, UKWELI siku zote utakuweka huru na UONGO utakupa ushindi wa siku moja au muda mfupi na UKWELI unaishi moja kwa moja..

Na pia wahenga walisema, "Kwenye ukweli, Uongo hujitenga"
 
Uongo una faida zake maana Ukiwaambiwa TRA ukweli hakika hutabaki salama
Utashindwa endesha biashara
 
Back
Top Bottom