Deadbody
JF-Expert Member
- May 30, 2015
- 4,276
- 6,585
Kwaheri ya kuonana Wayne Rooney,ulijitoa kwa nguvu na maarifa makubwa sana kwa kipindi chote ulichoitumikia Man United(2004-2017) ..
Ulijitahidi kuziba pengo la Ronaldo na kwa kiasi fulani ulifanikiwa sana.
Rooney umeondoka ila umetuachia kumbu kumbu kubwa sana ya kuwa mfungaji bora wa Man United wa muda wote ukifuatiwa na Sir Bob Charton⚽⚽⚽
Hukua nyuma team ya taifa ya uingereza ukawa mchezaji bora kabisa na mfungaji bora wa kipindi chote..sio man u tu tutakaokukumbuka bali hata team ya taifa ya England wanakumbuka mchango wako mkubwa.
Rooney pamoja na mambo makubwa uliyoifanyia club ila nasikitika kukwambia ya kwamba hautajengewa sanamu na kupewa heshima inayostahili kama wanayopewa THE UNITED TRINITY japo wote wale umewazidi kwa mafanikio uliyoipatia man united.Hii yote inatokana na asili yako Rooney,wewe ulizaliwa Jiji la Liverpool na kukulia huko huko Liverpool na ukafanikiwa kuja kucheza soka katika jiji la Machester pale Theater of dreams na ukacheza kwa mafanikio makubwa kabisa.
Rooney kwa taarifa tu ni kwamba man u hawapo tayari kukujengea sanamu au kufanya tukio lolote lile hata mechi ya kukuaga kama tulivyomfanyia Ole Gunnar Solskjaer mwaka 2007 japo wewe ulikuwa bora zaidi yake
(kuagwa kwa Ole Gunnar Solskjaer)
Tukio kama hili Rooney usitegemee kabisa japo wewe ndio mfungaji bora wa club wa muda wote
UNITED TRINITY
Tuliwaaga kwa style nzuri kina Nick Butt,Giggs na wengine wengi sana ila kwako wewe haitawezekana maana wee ni mpinzani kwa kuzaliwa kwako Liverpool,haiwezekani kumjengea sanamu mpinzani wako hata sikumoja,labda ujue tu kuwa kuwa mfungaji bora na kumpiku Sir Bob Charton ambaye ni mmachester united halisi hadi kwa kuzaliwa, hukuifurahisha kabisa Man united japo ulifanya kwa moyo mkunjufu kuisaidia team.
Ila mioyoni mwetu tutakukumbuka sana Wayne Rooney
Kila lenye mwanzo halikosi mwisho,nakutakiwa maisha mema huko huendako.
Deadbody
Ulijitahidi kuziba pengo la Ronaldo na kwa kiasi fulani ulifanikiwa sana.
Rooney umeondoka ila umetuachia kumbu kumbu kubwa sana ya kuwa mfungaji bora wa Man United wa muda wote ukifuatiwa na Sir Bob Charton⚽⚽⚽
Hukua nyuma team ya taifa ya uingereza ukawa mchezaji bora kabisa na mfungaji bora wa kipindi chote..sio man u tu tutakaokukumbuka bali hata team ya taifa ya England wanakumbuka mchango wako mkubwa.
Rooney pamoja na mambo makubwa uliyoifanyia club ila nasikitika kukwambia ya kwamba hautajengewa sanamu na kupewa heshima inayostahili kama wanayopewa THE UNITED TRINITY japo wote wale umewazidi kwa mafanikio uliyoipatia man united.Hii yote inatokana na asili yako Rooney,wewe ulizaliwa Jiji la Liverpool na kukulia huko huko Liverpool na ukafanikiwa kuja kucheza soka katika jiji la Machester pale Theater of dreams na ukacheza kwa mafanikio makubwa kabisa.
Rooney kwa taarifa tu ni kwamba man u hawapo tayari kukujengea sanamu au kufanya tukio lolote lile hata mechi ya kukuaga kama tulivyomfanyia Ole Gunnar Solskjaer mwaka 2007 japo wewe ulikuwa bora zaidi yake
(kuagwa kwa Ole Gunnar Solskjaer)
Tukio kama hili Rooney usitegemee kabisa japo wewe ndio mfungaji bora wa club wa muda wote
UNITED TRINITY
Tuliwaaga kwa style nzuri kina Nick Butt,Giggs na wengine wengi sana ila kwako wewe haitawezekana maana wee ni mpinzani kwa kuzaliwa kwako Liverpool,haiwezekani kumjengea sanamu mpinzani wako hata sikumoja,labda ujue tu kuwa kuwa mfungaji bora na kumpiku Sir Bob Charton ambaye ni mmachester united halisi hadi kwa kuzaliwa, hukuifurahisha kabisa Man united japo ulifanya kwa moyo mkunjufu kuisaidia team.
Ila mioyoni mwetu tutakukumbuka sana Wayne Rooney
Kila lenye mwanzo halikosi mwisho,nakutakiwa maisha mema huko huendako.
Deadbody