Vipi kuhusu biashara ya salon ya Esta je ilifika mbali au alirudi kwenye umaskini, na mdogo wake Rose bado yupo kwenye ile kampuni mpaka leo au aliondoka pia na vipi kuhusu mtaa ulokua unakaa awali au ulihama baada ya kupata mchongo mpya?
Shida sio kuitoa ccm na kuweka chama kingine bali tatizo ni mfumo mbovu unaotumika kuendesha nchi ambayo inatokana na katiba dhaifu isiyoendana na mahitaji ya sasa katika Taifa letu. Na ccm kwa kutambua umuhimu wa mfumo huo mbovu na katiba dhaifu kwa manufaa yao wala hawataki kusikia madai ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.