Mkuu, sitaki kabisa kuamini Kama ndani ya miaka chini ya mitano umeweza kufikia hatua hiyo!
Cost zaidi ya 20mil. Ndani ya muda huo? Labda nyumban ya kuta za makuti. Hata Kama ni mikopo bado kwa muda ulioajiriwa hautoshi kupeWa kiasi hicho cha mkopo iseeee. Other wise Una biashara zako zingine
Mwacheni afanye maamuz aliyoyaamua ili moto wake uache kuumia jamani. Naamini kwa wana u me tuliowahi kuumizwa na wavaa skirt , tunajua how pain huyu jamaa anaipata. Japokuwa huishia kufanya maamuzi tofauti mwishoni mwa game.
Pole Sana Miss Jay. Mama ni mama tu hata awe na mapungufu gani ww jitahidi huyakubali tu. Msamehe bure ipo siku atagundua wapi alitenda kosa lake. Kuwaweka katika matabaka anakosea Sana . cha msingi Kama wadau wengine walivyochangia, jitahidi Sana kufanya mambo yako jirani na maeneo ambayo ni...
Lakini pia huwa kama ajali imetokea, mtu anaweza kupata mshtuko na kupoteza faham. Mara nyingi ikitokea hv sio rahisi kupona ikiwa moto utashika mapema na akakosekana mtu wa kutoa msaada.
R.I.P marehem
Kwa ninavyofahamu, zamani kidogo kuna kemikali ilikuwa inaitwa Alar ndio ilikuwa inatumika kupulizwa kwenye matunda (Apples) ili kufanya yasioze. Hii ilitokana na kuwa, ilikuwa inasababisha magonjwa ya Cancer (japo sijui ni cancer aina gani).
Hata ukimenya, bado iliendelea kuwepo ndani ya tunda.
Sijaingia kwenye ndoa, lakini kiufupi nashauri hao ndugu zako(mdogo wako na wengine Kama wapo) uwe unawasiliana nao, ili km unayo pesa ya balance yako ambayo mkeo hafaham Kama unayo basi unawasaidia. Maana sio lazima Sana waje home; maana akiwaona tu amekariri Kama wamefuata pesa.
Vile vile kaa...
Pole Sana mkuu, maana maumivu na hasira vinavyokuandama nahisi Kama ni vyangu vile.
Cha msingi, kaa na mkeo myaongee na kuyamaliza. Jitahidi Sana kujizuia hasira zako zisikutawale pindi unaongea nae. Hebu jifikirie kwanza, kaanza lini hiyo tabia? (Kama mwanzoni hakuwa hivyo)
Pia, huyo mkeo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.