Iliwahi kunitokea.
Moja ya sababu ni uume kusimama kwa mda mrefu.
Dawa yake ni dioxyn hii ni ant biotic utapona ndani ya siku 2.
Sina uwakika kama nime patia spelling za hizo dawa ila ukienda pharmacy watakuelewa
Janja zako za kupigia debe kampuni za kubet peleka vijiwe vya kahawa humu watu wanajishughurisha,
Nina ofisi za kubetisha najionea vijana wanavyo pigika
Yani ww ndo shule huna kabisa kwahiyo serikali ya ccm inajiendasha kwa pesa za wana ccm pekee ? Wananchi toka vyama vingine hawachangii maendeleo ya taifa lao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.