ISIS
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 96,073
- 858,529
Chuki kama avator yako,cant imagine mtu mstaarabu kujiita ISIS
ISIS ni GODDESS, HORUS na OSIRI pls google. ubarikiwe
Chuki kama avator yako,cant imagine mtu mstaarabu kujiita ISIS
Hivi nyie mnaochukia mashoga na kushangilia huyo mchungaji mna tofauti gani na wale wazungu wanaoamini mtu mweusi ni half human na wangekuwa na uwezo mngerudi kuwa slaves au mngemalizwa wote, nyie mnabidi mkaishi pamoja na ile mizungu mibaguzi ili mtengeneze society yenu ya hate
Ushoga ni laana fullstop. Mwishowe mtasema mtu akilala na mama yake hamna shida "si kampenda mwenyewe"Ushoga haufundishi wala kulazimishwa,mashoga ni mashoga tu wapo, walikuwepo na wataendelea kuwepo na hakuna chochote mtafanya zaidi ya maneno yenu ya kashfa tuu tena nyuma ya keyboard na jamii zote zilizostaarabika zimewaachia waishi maisha yao na kuwalinda kama binadamu wengine na wengine ndio kila kukicha mnazama baharini kukimbilia hizo nchi
Mimi sio shoga ila ni very unfair kuwabagua hawa watuKoba wewe ni shoga.
Mashoga hawajakufanya ulale na mama yako acha kuwasingizia kwa ufilauni wakoUshoga ni laana fullstop. Mwishowe mtasema mtu akilala na mama yake hamna shida "si kampenda mwenyewe"
Watu walimleta mwanamke aliyekutwa akizini kwa Yesu. Sheria ilikuwa inasema mwanamke akikutwa anazini ni sharti apigwe mawe mpaka kufa. Sasa walipofika kwa Yesu, wakamwambia Yesu kutokana na sheria zetu huyu mwanamke anatakiwa kupigwa mawe mpaka afe. Yesu akawaambia, asiye na dhambi awe wa kwanza kumpiga mawe. Yesu aliinama chini na kuandika na aliposimaa wote kuanzia mdogo mpaka mkubwa waliondoka. Yesu akamwambia yule mwanamke, nenda zako na husitende dhambi tena.
Mimi sio shoga ila ni very unfair kuwabagua hawa watu
Watu walimleta mwanamke aliyekutwa akizini kwa Yesu. Sheria ilikuwa inasema mwanamke akikutwa anazini ni sharti apigwe mawe mpaka kufa. Sasa walipofika kwa Yesu, wakamwambia Yesu kutokana na sheria zetu huyu mwanamke anatakiwa kupigwa mawe mpaka afe. Yesu akawaambia, asiye na dhambi awe wa kwanza kumpiga mawe. Yesu aliinama chini na kuandika na aliposimaa wote kuanzia mdogo mpaka mkubwa waliondoka. Yesu akamwambia yule mwanamke, nenda zako na husitende dhambi tena.
Mpendwa wewe utamfuata?? ha ha ha haa... chukua nafasi ya mbele eeeh....Huyo mchungaji ahamie Africa atapata wafuasi wengi.
Hivi nyie mnaochukia mashoga na kushangilia huyo mchungaji mna tofauti gani na wale wazungu wanaoamini mtu mweusi ni half human na wangekuwa na uwezo mngerudi kuwa slaves au mngemalizwa wote, nyie mnabidi mkaishi pamoja na ile mizungu mibaguzi ili mtengeneze society yenu ya hate
Mwisho wenu umefika mnakanyagwa kama mbwa koko na hamna pa kutokea sasa,mnadanganyana bikira saba na kuua watu wasio na hatia kwa sababu hawaamini upumbavu wenu wa karne ya saba,mnaamini mungu ni wa kwenu tuu na kuchinja binadamu kama kuku nyie kama sio wehu nini? ila mmepata dawa yenu sasa maana kinachoendelea sasa is like a genocide ingawaje media hazitangazi mnamalizwa bila msamaha na watahakikisha mmebaki vumbi tuu kajiunge nao sasa acha kupiga ubabe kwenye keyboard tuu mwehu weweISIS ni GODDESS, HORUS na OSIRI pls google. ubarikiwe
Hahahahah hahahhaha lol mimi hapanaMpendwa wewe utamfuata?? ha ha ha haa... chukua nafasi ya mbele eeeh....
sasa weye unachukia ushoga halafu unafurahia kuua!!Yupo sahihi kabisa nami namuunga mkono 100%
Mwisho wenu umefika mnakanyagwa kama mbwa koko na hamna pa kutokea sasa,mnadanganyana bikira saba na kuua watu wasio na hatia kwa sababu hawaamini upumbavu wenu wa karne ya saba,mnaamini mungu ni wa kwenu tuu na kuchinja binadamu kama kuku nyie kama sio wehu nini? ila mmepata dawa yenu sasa maana kinachoendelea sasa is like a genocide ingawaje media hazitangazi mnamalizwa bila msamaha na watahakikisha mmebaki vumbi tuu kajiunge nao sasa acha kupiga ubabe kwenye keyboard tuu mwehu wewe
Mwisho wenu umefika mnakanyagwa kama mbwa koko na hamna pa kutokea sasa,mnadanganyana bikira saba na kuua watu wasio na hatia kwa sababu hawaamini upumbavu wenu wa karne ya saba,mnaamini mungu ni wa kwenu tuu na kuchinja binadamu kama kuku nyie kama sio wehu nini? ila mmepata dawa yenu sasa maana kinachoendelea sasa is like a genocide ingawaje media hazitangazi mnamalizwa bila msamaha na watahakikisha mmebaki vumbi tuu kajiunge nao sasa acha kupiga ubabe kwenye keyboard tuu mwehu wewe
Kwa hiyo hata huyo mchungaji anaewapinga ni mla vumbi anaeishi dunia ya pili na hana exposure?I get you.
Lakini hapa unatwanga maji kwenye kinu.
Hawa wala vumbi wengi kwanza wako kwenye denial na pili hawana exposure ya kutosha.
Laiti wangejua kuwa baadhi ya vitu wavitumiavyo kila siku maishani mwao uwepo wake umechangiwa na mashoga basi wasingekuwa wanatapika upumbavu namna hii.
After all, sexual orientation ya mtu mimi inanihusu nini?
sasa weye unachukia ushoga halafu unafurahia kuua!!
i cant imagine.