Jaman wadau, watanzania wote tunao uhuru wa kutoa maoni, tusilumbane bure kuhusu Lwakatare, Suala la lwakatare liko kisiasa kwa asilimia nyingi, Lakini msisahau kuwa uchunguzi unaendelea na mbivu na mbichi zake zitajulikana, naamini uongozi wa chadema unafanya vyovyote wawezavyo kuhakikisha Mr...