liberalization ina madhara sana, Tena ni mfumo kandamizi na wenye ubabe mwingi, kosa halikufanyika jana wala juzi, kauli ya nang'atuka ya Hayati baba wa Taifa ilikuwa imelenga kuukimbia unyama huu, Heshima kwa mwalim, rest in peace mzee, watanzania tumetawaliwa tena, hatuna chetu hata kimoja...