Muungano wa Tanzania ni kama koti ukitubana tulivue alisema karume

Warioba keshawaambia, kama hamtaki serika tatu, muungano kwaheri. Tatizo CCM vichwa vibovu mno, wagumu kuelewa afadhali hata Jotee.
 
Move this to legal matters.

Vyovote vile Tangayika's TS/EEZ ni ndogo ukizingatia TS/EEZ za Mozambique,Kenya na Zanzibar.

Usidanganye watu hapa.
Hujui unachokiongea ... Mafia ipo Zanzibar?! - wewe sheria inasema If this (12 Nautical Miles) would overlap with another state's territorial sea, the border is taken as the median point between two states' baselines .. (Sasa ina maana mpaka ni kati ya Kisiwa cha Mafia na Zanzibar - Unguja) alafu kuanzia hapo mnagawana wote sasa kuelekea baharini.

Kati ya Zanzibar na Mafia kuna kama Kilomita 150 roughly (katika Zanzibar Channel) kwa hiyo mwisho wa Zanzibar ni Kilomita 75 tu maana ukutoka hapo unaingilia eneo la Tanganyika (Mafia).

simplemind .. Kwa hiyo Teritorial water ya Zanzibar inaishia katikati ya Unguja na Mafia, of which in reality Zanzibar ina eneo dogo la bahari as inapakana na Mafia ambayo ipo Tanganyika.

Kajipange upya.

zanzibar-7.jpg


tanzania-map-with-arrow.jpg
 
ukweli ni mchungu lakini hakuna budi udhihirishwe hata kama utaua mtu

Je huoni kwamba hasira chuki machungu ya umaskini vimekufanya ushindwe kujua adui yako ni nani?Kama unamjua, kwa kushindwa kumtaja na kumweleza wazi wazi na ukatumia mbinu chafu ya kutukana watanzania bara kwa ujumla ili washikwe hasira,unadhani utafikia malengo yako?Pengine unachokidhani wewe ni ukweli,ndicho hakionekani kwenye andiko lako hapo juu!Watu zaidi ya milioni 40 wenye kila utajiri wa rasilimali,wote kwa ujumla wao wanawanyonya watu milioni moja!Ndio maana jamaa akahoji suala la IQ!

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Je huoni kwamba hasira chuki machungu ya umaskini vimekufanya ushindwe kujua adui yako ni nani?Kama unamjua, kwa kushindwa kumtaja na kumweleza wazi wazi na ukatumia mbinu chafu ya kutukana watanzania bara kwa ujumla ili washikwe hasira,unadhani utafikia malengo yako?Pengine unachokidhani wewe ni ukweli,ndicho hakionekani kwenye andiko lako hapo juu!Watu zaidi ya milioni 40 wenye kila utajiri wa rasilimali,wote kwa ujumla wao wanawanyonya watu milioni moja!Ndio maana jamaa akahoji suala la IQ!

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums

Utajiri wa rasilimali unawanufaisha wachina na makaburu sio wewe mtanganyika,acha pumba.
 
Wazanzibar mnalalamika nini tena, tulieni dawa iingie sawa sawa.
Mlitaka serikali ziwe tatu haya serikali tatu hizo zinakaribia kuja, nini tena mnalalamika?

Sasa ni wakati wa Zanzibar kuonja machungu ya maisha, mlizoa kubebwa na Tanganyika sasa mtajibeba wenyewe.

Eti Zanzibar nayo inajiita ni nchi tena nchi jeuri!!! Vichekesho vitupu, nchi ndogo kuliko mkoa wa Pwani ni ufukara mtupu unawasumbua wazanzibar.

Na mkijitenga tu, jiandaeni pia kuwapokea na wapemba wakimbizi waliojazana huku Tanganyika na kuneemeka vya bara.

Chezea jaji Warioba wewe!!!
 
ndugu zanguni watu weusi wenzangu..nimesikitishwa sana kufikia hatua wazee wetu watu weusi wenzetu, walipgania uhuru kwa mali na nafsi zao, walipoteza maisha na adhabu kedekede zilizowapata ili vizazi vyao yaani sisi waafrika watu weusi kokote tulipo duniani iwe visiwani au barani au ata nje ya bara la afrika, tuishi kwa kujitawala na kwa starehe huku tukiishi kwa mapenzi bila kudhulumiana.
kinachoniskitisha ni kuona waafrika wenzetu na majirani zetu ambao kiuasilia baadh ya ndugu zetu ni asili zao, wametugeuka na kudharau kazi kubwa walizozifanya mababu na mabibi zetu, baada kuondoa wakoloni waliokua wakitutesa kwa UNAFIKI NA TAMAA waliamua kutugeuka na kua wao ni wakoloni weusi, kuanza kuchukua kilichochetu na na kutuminya kimaisha mpka tukakosa pumzi, imefikia hatua bora mkoloni mweupe ambae si katika sisi alitutawala kwa busara, mkoloni huyu mweusi mwenzetu ana makali zaid ya wakoloni wanzungu, ametuuwa, ametunyanganya, ametutesa, anatuchagilia wa kutuongoza, ametufunga bila hatia, ametubakia dad zetu, watu hawa ni mzgo mzito kwa watu wa visiwani ambao ni dhaifu na ni wachache mno!,
huu ni usaliti na unafiki kwa waafrika, unapaswa ulaaniwe na waafrika wote. hili ni zigo la mavi zito, linanuka, halibebeki na halikokoteki.
nawasilisha


Halafu cha ajabu kila mara unasema hata muungano uvunjike hauondoki Tanganyika, sasa na wewe unataka uendelee kunuka mavi kama sisi? Nyie ngoja muungano uvunjike muone kama mtaishi kwa raha huku Tanganyika. Mnadanganywa na akina Jussa wenzenu wana agenda zao na wa Oman na nyie mnashabikia tu wakati uchumi wenu unategemea Nazi na urojo tu, Kalaghabaho.
 
Zanzibar ni nchi inayolishwa na kuvikwa na Tanganyika kila siku.
Zanzibar haijiwezi kwa chochote kiuchumi.
Uchumi unaotegemea Nazi na Urojo ndio ukaongeze nchi ya Zanzibar?
Mtoto akililia wembe mpe.
 
acha ndoto za alinacha wewe , fanya kazi uondokane na umaskini..kelele za muungano hazitakusaidia chochote
 
Hii haina muda wataiyondosha hawapendi kuziona au kuzungumzia mambo ya mipaka ya Zanzibar
 
mambo ya nje sarafu na benk kuu uraiya kila nchi ishukhulikie wenyewe wazanzibar tuachiwe tupumuwe
 
Hayati Nyerere, baba wa taifa aliwahi kusema kuwa kama angekuwa na uwezo wa kukisogeza mbali zaidi na hapo kilipo angafanya hivyo, hii inaonyesha wazi kuwa yeye binafsi hakuutaka muungano bt namsifu kwa uamuzi wa kuungana na zanzibar kwa shinikizo la wakubwa(inavyosemekana.) Leo wazanzibari sijui nani amewadanganya na kujiona kuwa ndani ya muungano hawako salama, wanasahau kuwa ni muungano ndo unaowafanya kuonekana wazanzibari na nje ya muungano hakuna wazanzibari(Nyerere aliwahi kusema). Naamini ipo siku walitakalo wazanzibari la muungano kuvunjika litatimia ila likitimia wasije wakajisifu bali wamsifu anaewadanganya kuwa nje ya Muungano wataendelea, sisi wengine tutabaki mashahidi na watazamaji wa show ya wapemba vs waunguja!
 
Ukweli rasim ya katiba mpya haiko kitaifa but ni kisiasa zaidi. Ccm wanavuta upande wao na cdm wanaangalia kushika dola tu. Tunapelekana wapi? Serikali 3 kwa sbb zipi za msing? Na ccm kupinga kuna sbb zipi? Ni muda wa kila mhusika anayeshinikiza Atoe sabb za msingi kwa kile anachokisimamia. Mimi serikali 3 hapana bora Muungano UFE.
 
Zanzibar ni nchi inayolishwa na kuvikwa na Tanganyika kila siku.
Zanzibar haijiwezi kwa chochote kiuchumi.
Uchumi unaotegemea Nazi na Urojo ndio ukaongeze nchi ya Zanzibar?
Mtoto akililia wembe mpe.

wakati nyerere baba yenu wa taifa anakuja kuomba muungano znz .zanzibar ilikuwa inajitegemea kiuchumi bila misaada ya kibajeti ilikua na nyongeza sio nakisi katika bajeti....znz hii ilikuwa nchi ya mwanzo kwa sekta mbalimbali katika eneo hili la EA.........TIZAMA NA HISTORIA mpendwa.....wazanzibar waliingia muungano na tanganyika wakiamini watapata kuendelea zaidi kutokana na fursa mpya ya nchi kubwa yenye rasilimali nyingi na soko pana zaidi.......miaka 49 ya muungano zanzibar haijiwezi hata yenyewe sikwambii kusaidia wengine..... mwandezimu gani anatwambia tuendelee na muungano huu....tanganyika bado tengemezi, zanzibar bado tengemezi kwa wafadhili kodi inakwenda bara. na hiyo bara bado fukara rasilimali zimejaa pande zote za TZ..MSHUMAA UNAWAKA KIZA BADO KINAZIDI.....inatosha,inatosha,inatoshaaaa hebu kila upande wende kivyake tuone znz itarudi kujitengemea yenyewe bila misaada.hofu ya watanganyika sioni msingi wake.
INAWEZEKANA TATIZO NI CCM ukifa muungano na hawa Chama Cha Mafisadi is over
HATUTA GOMBANA ni wakati wa kujitathimini upya.. ZANZIBAR BILA MUUNGANO INAWEZEKANA
 
Back
Top Bottom