Serikali yakerwa na vyama vingi.

Serikali yakerwa na vyama vingi.

Luiz David

Member
Joined
Jun 13, 2013
Posts
56
Reaction score
20
Ndugu wadau nafuatilia kwa kina mijadala anuai hapa nchini..iwe rasmi na isiyo rasmi...nagundua kuwa kuna daraja limejengwa na serikali kwa ubia mkubwa na chama tawala likilenga kukwamisha mafanikio ya vyama vya upinzani na wanaharakati......kama wana demos tunahitaji mtazamo tofauli ili sura iliyo asisiwa na wanamageuzi isififie mikononi mwetu.....nawasilisha.
 
kivipi mkuu?mbona hujaweka hoja yako wazi ieleweke? au mpaka tudai picha?
 
Back
Top Bottom