Naomba ushauri Niamzie nyuma kidogo ili nieleweke kidogo.
Mwaka 2015 nilisomeshwa chuo cha veta (fani ya umeme) hadi 2016 nikamaliza mwaka wa kwanza sikuweza kuendelea na mwaka wapili sababu ya ada mtiani wa mwaka wa kwanza kuingia mwaka wa pili niliufanya (life skills) nikafaulu kuendelea na...
Nina mdogo wangu umri 17 mdomo wake uliaza kukauka na kuuma nyakati za asubuhi sasa kadri Siku zinasongea hali inazidi kuwa mbaya mdomo una kauka sana hadi kuna dalili ya vidonda sasa naombeni msaada nimsaidieje?
Asanteni
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huyu kuna mahali nilimwona kwa ushamba wangu nikaogopa kushuka kwenye gari nikaona huyu hana usalama anaweza nichangamkia nilishuka nakukimbilia dukani kununua soda ila hata nilikua sina mpango wa soda.
Qn
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.