Naomba ushauri kati ya kusoma au kusubiri kuajiriwa

MR Kilimanjaro

JF-Expert Member
May 5, 2019
249
355
Naomba ushauri Niamzie nyuma kidogo ili nieleweke kidogo.

Mwaka 2015 nilisomeshwa chuo cha veta (fani ya umeme) hadi 2016 nikamaliza mwaka wa kwanza sikuweza kuendelea na mwaka wapili sababu ya ada mtiani wa mwaka wa kwanza kuingia mwaka wa pili niliufanya (life skills) nikafaulu kuendelea na mwaka wa pili.
2016 nikachukuliwa na ndugu kwenda hukoo mjini ili nikamalizie mwaka wa pili ila haikua ivyo badala yake kutumikishwa tu na kazi za Ndani nilikua kama hous boy kwanzia 2016 hadi 2018 (miaka 2) Nikatoroka nikarudi nyumbani kijijini.
Nyumbani nilijishuhulisha na kilimo na ufugaji kidogokidogo hadi sasa nina mradi wa kuku na mashine ya kutotolesha na mashamba makubwa tu nimejitahidi nimejinga kanyumba ka Chumba 2

=)sasa Kajitokeza mfadhili kaniambia nikamalizie mwaka wa pili na hadi sasa nipo shule tayari.
Nikiwa naendelea na umeme baada ya vyuo kufunguliwa na Mh Rais
Mimi huku natwka nisomee somo la fani tu (theory na practical)

Naomba ushauri
Kama kuna ulazima kusoma masomo yote kama math, eng- ,nk japo nimeishia la 7.
(Mimi nataka kujiajiri na nishajiajiri na kazi za umeme napata kidogo nataka nikiwa hapa shule niibie kwenye masomo ya computer na welding vitanisaidia kwenye ofis yangu)
Karibuni mnishauri nisome masomo yote nisubiri kuajiriwa au nichukue masomo ya fani nije kujiajiri?
 
Naomba ushauri Niamzie nyuma kidogo ili nieleweke kidogo.

Mwaka 2015 nilisomeshwa chuo cha veta (fani ya umeme) hadi 2016 nikamaliza mwaka wa kwanza sikuweza kuendelea na mwaka wapili sababu ya ada mtiani wa mwaka wa kwanza kuingia mwaka wa pili niliufanya (life skills) nikafaulu kuendelea na mwaka wa pili.
2016 nikachukuliwa na ndugu kwenda hukoo mjini ili nikamalizie mwaka wa pili ila haikua ivyo badala yake kutumikishwa tu na kazi za Ndani nilikua kama hous boy kwanzia 2016 hadi 2018 (miaka 2) Nikatoroka nikarudi nyumbani kijijini.
Nyumbani nilijishuhulisha na kilimo na ufugaji kidogokidogo hadi sasa nina mradi wa kuku na mashine ya kutotolesha na mashamba makubwa tu nimejitahidi nimejinga kanyumba ka Chumba 2

=)sasa Kajitokeza mfadhili kaniambia nikamalizie mwaka wa pili na hadi sasa nipo shule tayari.
Nikiwa naendelea na umeme baada ya vyuo kufunguliwa na Mh Rais
Mimi huku natwka nisomee somo la fani tu (theory na practical)

Naomba ushauri
Kama kuna ulazima kusoma masomo yote kama math, eng- ,nk japo nimeishia la 7.
(Mimi nataka kujiajiri na nishajiajiri na kazi za umeme napata kidogo nataka nikiwa hapa shule niibie kwenye masomo ya computer na welding vitanisaidia kwenye ofis yangu)
Karibuni mnishauri nisome masomo yote nisubiri kuajiriwa au nichukue masomo ya fani nije kujiajiri?
Ukiwa kijana mdogo kama mimi nilivyokuwa unaweza kufikiri miaka 3 ni muda mrefu sana, kwa kweli sio. Kwa kifupi tu mimi nimekaa miaka 31 tangu nianze la kwanza hadi namaliza. Na sasa naona faida yake kwani nimewapita wote walioshia katikati kwa maendeleo.

Hivyo kijana usihesabu hiyo miaka 2 soma kila unachoweza, chukua cozi zote kama unaziweza halafu ukimaliza utajiajiri na hata ukipenda kuajiriwa utafanya hivyo pia.
 
Naomba ushauri Niamzie nyuma kidogo ili nieleweke kidogo.

Mwaka 2015 nilisomeshwa chuo cha veta (fani ya umeme) hadi 2016 nikamaliza mwaka wa kwanza sikuweza kuendelea na mwaka wapili sababu ya ada mtiani wa mwaka wa kwanza kuingia mwaka wa pili niliufanya (life skills) nikafaulu kuendelea na mwaka wa pili.
2016 nikachukuliwa na ndugu kwenda hukoo mjini ili nikamalizie mwaka wa pili ila haikua ivyo badala yake kutumikishwa tu na kazi za Ndani nilikua kama hous boy kwanzia 2016 hadi 2018 (miaka 2) Nikatoroka nikarudi nyumbani kijijini.
Nyumbani nilijishuhulisha na kilimo na ufugaji kidogokidogo hadi sasa nina mradi wa kuku na mashine ya kutotolesha na mashamba makubwa tu nimejitahidi nimejinga kanyumba ka Chumba 2

=)sasa Kajitokeza mfadhili kaniambia nikamalizie mwaka wa pili na hadi sasa nipo shule tayari.
Nikiwa naendelea na umeme baada ya vyuo kufunguliwa na Mh Rais
Mimi huku natwka nisomee somo la fani tu (theory na practical)

Naomba ushauri
Kama kuna ulazima kusoma masomo yote kama math, eng- ,nk japo nimeishia la 7.
(Mimi nataka kujiajiri na nishajiajiri na kazi za umeme napata kidogo nataka nikiwa hapa shule niibie kwenye masomo ya computer na welding vitanisaidia kwenye ofis yangu)
Karibuni mnishauri nisome masomo yote nisubiri kuajiriwa au nichukue masomo ya fani nije kujiajiri?
Ushari wangu minaona Kama kijana meenzangu ujiajiri
Itakua poa ZAIDI kwamawazo yangu lakini
 
Back
Top Bottom