Recent content by Mr Kaptenovela

  1. Mr Kaptenovela

    Kuna Wenzangu waliokimbia Additional Mathematics kama mimi?

    Hahaa mimi nilikomaa nayo hivyohivyo tu. Kuhusu kuchekwa unavumilia tu kwanza wa kuchekwa ni wengi sio wewe peke yako. Nilipata B form four na ilinisaidia kunipandisha grade nilizopata. Ikanisaidia na A'level pia.
  2. Mr Kaptenovela

    Mwana kulitafuta mpaka kulipata

    Na CCM kamati kuu.
  3. Mr Kaptenovela

    Mwana kulitafuta mpaka kulipata

    Atapitishwa Dodoma.
  4. Mr Kaptenovela

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Noma sana!
  5. Mr Kaptenovela

    Kazi ya kulea si mchezo, mbarikiwe wanawake

    Umenena vema kaka. Hii kazi siyo ya kitoto. Tuwaachie wenyewe tu.
  6. Mr Kaptenovela

    Jiji la Mwanza vs Jiji la Arusha: Lipi ni zaidi kwenye hili?

    Hiyo barabara ya CBD to Airport in KM ngapi?
  7. Mr Kaptenovela

    Jiji la Mwanza vs Jiji la Arusha: Lipi ni zaidi kwenye hili?

    Kumbe jf kuna hadi wakimbizi! Mi nilijua kuna wabongo tu.
  8. Mr Kaptenovela

    Jiji la Mwanza vs Jiji la Arusha: Lipi ni zaidi kwenye hili?

    Barabara ya chini ya hili daraja ni lanes ngapi?
  9. Mr Kaptenovela

    Jiji la Mwanza vs Jiji la Arusha: Lipi ni zaidi kwenye hili?

    Wanamwanza hivi mtu mshamba wa hivi asiyejua nchi yake mnabishana nae wa nini?
  10. Mr Kaptenovela

    Data Scientist ana earn kiasi gani?

    Kaka drone shukrani sana.
  11. Mr Kaptenovela

    Data Scientist ana earn kiasi gani?

    Habari wanaplatform, Ningependa kufahamu data scientist monthly wages kwa hapa kwetu Tz. Nimejaribu kutumia search engines napata kwa viwango vya huko nje. Nimeamua kugeukia humu sababu nina uhakika ntapata mawili matatu kuhusiana na dukuduku langu. Msaada tafadhali, either junior au senior...
Back
Top Bottom