Baada ya kutumbuliwa kwa Mramba waziri mwenye matamko yanayoathiri wananchi wanyonge anafuata Ndalichako.....yeye anajua fika watoto wa masikini wengi ndo waliosoma masomo ya sanaa kwa kusoma shule za kata zisizo na walimu wa sayansi, maabara na kukosa hela za masomo ya ziada haohao Leo anatamka...
Sio kwa kuachana njia panda huku ajira hizi zilimwagwa kwenye gazeti la habari Leo zikaanikwa gazeti la nipashe waziri akijinafsibisha kwenye kipindi cha dakika 45(ITV) na kusema muda wowote kuanzia muda hule(huku mtangazaji akikazia muda wowote!??) Akrudia tena muda wowote.
Mwaka sasa...
We ushangai waliotumbuliwa kwa ufisadi ni wengi mno, xna mamlaka ya kuwataja lakin et mahakama haina wateja......Mimi Domo wazi kumbe wale wote hawana hatia.!!!!!!?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.