dah imeniuma sana japobado haijapita yani helazangu nisilipwe wakati mmezitolea jasho sasa kufanya kazi kwenye kampuni moja ni lazima mtu si unaamua ku resign.
Ni adhabu Ila sio suluhisho sana Kwa tatiz coz magari yanaweza kupakwarangi na kubadili jina la kampuni au kuyauz mm nadhan ziwekwe check point camera n.a. Pia fine ziwekubwa Kwa speed offence au kifungo Kwa dereva alie zidisha kasi kamailivyo heshima ukipita njia ya mwendo kasi tairi mali yao...
kama wananchi wanavuka bure basi ni vizur, kwan silazima mtu avuke na gari lake kwanza litachakaa so bora liwe biashara ililikichoka wapate hela zakutangeneza.:D
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.