Camilo_Cienfuegos
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 11,378
- 15,397
Kama ni wet-leasing, restructuring inaweza kuwa kubwa itakayo-ondoa wafanyakazi wengi. Kwa sababu wet-leasing wanatoa ndege na wafanyakazi yaani crew and ground staff.
Nimecheeeka!Ninawahidi sitowangusha,Tanzania yangu itakuwa ya neema nyingi,viwanda Vingi,mahoteli mengi,madege ya kumwaga
Abeeee?NBC nao wanapiga restructuring ya kufa mtu..
baclays bank anaondoka africa nae.. hapo lazima tuisome namba
YAP nilikuwa Minjingu nachoma Mkaa Mzee wa Ulaya.ulipotelea wapi mkuu? Nilikuwa najiuliza mchiz kazama chaka kwa muda minjingu kuchoma mkaa
heshima kwako mkuuYAP nilikuwa Minjingu nachoma Mkaa Mzee wa Ulaya.