Pole na hongera
Pole maana yake babako kuna mahali anakuona Kama mfanyabiashara mkubwa
Na hongera kwa maana umefanikiwa kumiliki biashara mjini
Ila samahani sana kwa kuingilia thread yako umeona threat yangu ya
" Nahitaji mkopo wa milioni 2 nifanye biashara ya bajaji narudisha mkopo ndani...
Kaka habari yako.
Mimi hapa nina hitaji mkopo wa milioni 2 unalipwa kwa miezi 4-6 , hii itanifanikisha dili la maisha yangu na pia kuna zawadi atayefanikisha Hilo.
Mimi ni mkazi wa mbezi , na muhitimu wa Diploma ya finance ifm .
Naomba ushirikiano wenu ndugu na kamaa
Uliwaelekeza wakatoka na ujuzi uluonao kwenye Ms word na Excel
Au ndo na ww uliwaacha wapambana na hali zao
Habarini wana JF,
Nipo kazini katika office mojawapo hapa duniani.
Bhasi hivi karibuni wamekuja watoto wa field katika vyuo fulani vikubwa sana hapa Tanzania.
Vijana ni warembo na...
Kuna baadhi ya maeneo kigoma unayapata kwa 100k au chini ya hapo [ Mashamba Poli ]
Ardhi ya kigoma ni ardhi nzuri na yenye rutuba zakutosha.
Pia utaweza ardhi Hiyo ya kigomainakubali mazao mengi ikiwemo kwa kutaja machache Mahindi, maharagwe, viazi na mengine mengi.
Kwa kiasi kikubwa soko letu la ndani limeadhiliwa na masoko ya nje , ambapo wa Tz wengi wametengeneza mazoea ya kuazigiza na kuzidhamini bidhaa za nje not only kwa mchikichi , ni hata kwa mazao mengine pia
Nini kifanyike
[ To stabilize internal market ]
Kwanza Kama waTz tudhamini na kutumia...
Kwa kazi halizofanya huyu BABA JPM hakika Mungu ametubariki
Ila Hilo sio MUHIMU Sana maana tunauhakika wa kuwa na watu Kama yeye kwa hili Taifa The likes of Majariwa
He deserves more anyway
Note : Ww unajua kunauwezekano maana taifa linahitaji Hilo litokee
Tunahitaji mtu Kama JPM
Zao hili mbegu za kisasa kabisa zinapatikana maeneo mengi na sio kigoma tu . Kwenye ofisi za TARI za kila mkoa zinapatikana , mikoa Kama Tanga , morogoro , pwani
Lakini pia unaweza kuzipata kwa watenezaji wa binafsi
Pia kila eka moja inapaswa kuchukua Miche isiyopungua 50-55
Mche mmoja...
Mbegu za michikichi hii ya kisasa kwa kiasi kikubwa inazalishws na TARI
Maeneo mengi KILIMO hiki kina kubali vizuri , mikoa ya pwani yote , kigoma , morogoro , Dodoma , singida.
Kwa Sasa kwa Tanzania soko la mchikichi bado sio kubwa kwa Sababu ya utegemezi mkubwa wa zao ili kutoka nje ya nchi...
Uku Tz hatutaki muchezo kabisa
Umenikera na Hako kampost kako
The gap btn Tz and Kenya is not to that extent as you think , as days goes we closes the gap as the the big duck in a tin puss of yours ,and sooner than later we'll be up there while we f*ck you asses as always
Cheers , waiter...
Hii serikali ya Ccm miaka mitano ya kwanza imefanya vyema Sana Ila Kama ilivyo kawaida Lila sehemu kuna mapungufu
Hii nchi hakika tutafika huko wananchi mnapo pataka Ila sio Leo Wala kesho
Tupambane tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.