Tangantika
JF-Expert Member
- Aug 12, 2018
- 4,941
- 6,192
Sio ajabu mtu aliokulia mara kuweka R kwenye L. Wakenya hawawezi kusema AJE wanasema AKUJE. Wazungu wengi wanaongea kiswahili ila hawawezi kutaja vizuri maneni mengi tu.Ana DIPROMA
Nyie mmeelimika kweli ?