Kwa Jina la Yesu ninafunga roho ya mauti juu ya Lissu, ninafunga uchawi, ulozi, uganga ambao unatumwa juu ya Lissu kuanzia sasa mpaka pale miguu yake itakapokanyaga ardhi ya Tanzania.
Ninakutakasa Lissu kwa Damu ya Yesu, ninavua kila mavazi ya kuzimu ktk ulimwengu wa roho uliyoveshwa...
Acha tukampokee Comrade Lissu.
Msiba waomboleze wao wenyewe, toka lini CCM ikawa na huruma kiasi cha kwamba na sisi tuwaonee huruma.
Walituita marofa, leo nchi masikini kwa ajili yao, na bado risasi wanatupiga, eti tuwaombeleze wao kwa udhalimu wao tuache kumpokea Lissu.
Asikudanganye mtu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.