Uchawi upo kila sehemu ndyo ila si kama kule jamaa usiombe kule ndo wangesema waja leo warudi leo nililala siku moja kule usiku mmoja niliuona kama mwaka
hawa mkekabet nao mizinguo mingi mi niliweka hela ikawa aionekani online mpaka leo hii sijaiona ukieapigia simu hawana msahaada wowote zaidi ya kunambia imo wakati mi nkizama online siioni..
Msaada wa kisheria kuna kesi ya ubakaji kwa mtoto wa miaka 7 amebakwa na vijana wenzie wa umri sawa na wake
wazazi wake wamekataa kuelewana na wazazi wa watuhumiwa wanaomba waende mahakamani je? ni adhabu gani kisheria inaweza kuchukuliwa kwa watoto hao?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.