fareed uziel
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 665
- 720
Sisi wazinzi hua hatujiulizi masuala ya kipumbav kama hayo,sisi ni kutafuta nyuchi na kuifumua tu mambo sijui kupenda namwachia sharukh khan
love need moneyHahahahhaaaaaaa does money need love or love need money?
miss kwani ni biashara?love need money
mimi nafanyia biasharamiss kwani ni biashara?
mimi nafanyia biashara
sawa mkuuusikwepe kulipia kodi kwa maendeleo ya taifa
100%Wanajamvi habari zenu!
Natumaini hamjambo naombeni kuchangia mawazo yangu na nyie.
"Hakuna haja ya kuhangaika kuanzisha uhusiano na mtu ambaye unajiaminisha kuwa unampenda lakini ukiangalia kwa undani ni kama unajidanganya.
Unamtaka mtu kwa udi na uvumba, huli, hulali mambo yako yamesimama kisa eti unampenda na Yeye anakuzungusha. Swali la muhimu kujiuliza ni "Je ninampenda?" Automatically jibu litakuwa ndiyo.
Je nitamuoa au kuolewa naye?" Kama Jibu ni hapana! So what and why uteseke? Nini hatma (destination) ya uhusiano unaotaka kuuanzisha?
Unampenda mtu lakini unagundua hakupendi kwanini ung'ang'anize?
Mpenzi wako kakusaliti unalia sana unamsamehe lakini kesho anarudia. hapo unataka nini tena?
Siku zote tafuta ukweli ili uishi huru.
Unagundua mdada au mkaka unayemtaka ana mtu mwingine eti unaanza "ooh naomba niwe spear tyre" oooh muache Huyo mi ndo nakupenda sana" kesho akija mwingine akamwambia kama wewe ulivyofanya?
"Your life can be happy if you want to make it happy and not otherwise"
"Ushauri mzuri, ila mbona kama unakuhusu sana wewe"Wanajamvi habari zenu!
Natumaini hamjambo naombeni kuchangia mawazo yangu na nyie.
"Hakuna haja ya kuhangaika kuanzisha uhusiano na mtu ambaye unajiaminisha kuwa unampenda lakini ukiangalia kwa undani ni kama unajidanganya.
Unamtaka mtu kwa udi na uvumba, huli, hulali mambo yako yamesimama kisa eti unampenda na Yeye anakuzungusha. Swali la muhimu kujiuliza ni "Je ninampenda?" Automatically jibu litakuwa ndiyo.
Je nitamuoa au kuolewa naye?" Kama Jibu ni hapana! So what and why uteseke? Nini hatma (destination) ya uhusiano unaotaka kuuanzisha?
Unampenda mtu lakini unagundua hakupendi kwanini ung'ang'anize?
Mpenzi wako kakusaliti unalia sana unamsamehe lakini kesho anarudia. hapo unataka nini tena?
Siku zote tafuta ukweli ili uishi huru.
Unagundua mdada au mkaka unayemtaka ana mtu mwingine eti unaanza "ooh naomba niwe spear tyre" oooh muache Huyo mi ndo nakupenda sana" kesho akija mwingine akamwambia kama wewe ulivyofanya?
"Your life can be happy if you want to make it happy and not otherwise"
NakubalianaKiukweli suluhisho ni kumpenda anayekupenda
Kama unafikiri akili ndiyo inaamua kupenda bado hujapenda na ipo siku utakuja kupenda ndiyo utajua kupenda nini. Upendo ni msukumo kutoka moyoni wala huwezi kujizuia ndiyo maana anayependa huwa mjinga,. Unapotumia logic utaishi na mtu ambaye moyo wako hauliziki naye na hii huwatokea zaidi wanawake pale wanapotafuta mwanaume mwenye uwezo mzuri wa kiuchumi bila kuusikiliza moyoWanajamvi habari zenu!
Natumaini hamjambo naombeni kuchangia mawazo yangu na nyie.
"Hakuna haja ya kuhangaika kuanzisha uhusiano na mtu ambaye unajiaminisha kuwa unampenda lakini ukiangalia kwa undani ni kama unajidanganya.
Unamtaka mtu kwa udi na uvumba, huli, hulali mambo yako yamesimama kisa eti unampenda na Yeye anakuzungusha. Swali la muhimu kujiuliza ni "Je ninampenda?" Automatically jibu litakuwa ndiyo.
Je nitamuoa au kuolewa naye?" Kama Jibu ni hapana! So what and why uteseke? Nini hatma (destination) ya uhusiano unaotaka kuuanzisha?
Unampenda mtu lakini unagundua hakupendi kwanini ung'ang'anize?
Mpenzi wako kakusaliti unalia sana unamsamehe lakini kesho anarudia. hapo unataka nini tena?
Siku zote tafuta ukweli ili uishi huru.
Unagundua mdada au mkaka unayemtaka ana mtu mwingine eti unaanza "ooh naomba niwe spear tyre" oooh muache Huyo mi ndo nakupenda sana" kesho akija mwingine akamwambia kama wewe ulivyofanya?
"Your life can be happy if you want to make it happy and not otherwise"
Utajuaje kama anakupenda?? maana kuna mtu anaweza akakuonyesha mapenzi, ili kuku zubaza, wew unajua kama unapendwa, kumbe huku anakamchepuko.Kiukweli suluhisho ni kumpenda anayekupenda
