Usiniambie umeenda Gamboshi wilaya ya Bariadi Mkoani Shinyanga sio huko..Ni huko kwenya ulimwengu usioonekana..Nilishawahi kufika, mbona ni pa kawaida tu,
Kuna watu wanaendesha maisha fresh, swala la dunian kwan wao wanaishi mbinguni?
Sema tulipewa moja hiyo ya kuondokea, sitaisahau loooh!
Ila Gamboshi ni kijiji km vilivyo vingine, mambo ya uchawi hata hapo ulipo yapo, ila hapako kama watu wanavyodai palivyo.
"..Mkuu wengi wakienda huko kurudi ni msala kidogo kozi utamwaga ishu zao.. labda ule kwanza kiapo cha uchawi lkn hv hv inaweza ndo ikawa mara ya mwisho kuona jua.. poa utawasalimia kuzimu"Wakuu Habari Zenu
Nimesikia eti huko Gambosh kuna kila kitu kama hapa duniani.Mimi nataka kwenda mara moja tu kwenda kujionea kwa macho yangu na kurudi hapa duniani.
Kuna njia yoyote ya kwenda huko au ni mambo ya kukata tiketi kama za ndege.
Hamna shida kama ni mambo ya kuchanjana mwili mzima poa na hata viapo..Lakini mimi nataka kurudi Duniani"..Mkuu wengi wakienda huko kurudi ni msala kidogo kozi utamwaga ishu zao.. labda ule kwanza kiapo cha uchawi lkn hv hv inaweza ndo ikawa mara ya mwisho kuona jua.. poa utawasalimia kuzimu"
Huko huhitaji kusafiria bus kuna namna yake ya kufika wasiliana na MziziMkavu ana jinsiMkuu wewe sio mchawi bali unayajua haya mambo au na wewe umeyasikia..mimi nilitaka kujua jinsi ya kufika huko kwenye ulimwengu usioonekana..Sio Gamboshi Wilaya ya Bariadi
MziziMkavu Karibu huku utujuze mkuu nausongo wa kwenda huko...Huko huhitaji kusafiria bus kuna namna yake ya kufika wasiliana na MziziMkavu ana jinsi
Na jichawi pia ni mtaalamuMziziMkavu Karibu huku utujuze mkuu nausongo wa kwenda huko...
Wakuu Habari Zenu
Nimesikia eti huko Gambosh kuna kila kitu kama hapa duniani.Mimi nataka kwenda mara moja tu kwenda kujionea kwa macho yangu na kurudi hapa duniani.
Kuna njia yoyote ya kwenda huko au ni mambo ya kukata tiketi kama za ndege.
Mtafute Evelyn Salt kwa maelezo zaidi
Teh teh..Nasikia kuna njia kwenda tu ila ya kurudi haipoAjipange, safari ya gambosh ni sawa na safari ya kwenda kutalii mwezini
Uchawi upo kila sehemu ndyo ila si kama kule jamaa usiombe kule ndo wangesema waja leo warudi leo nililala siku moja kule usiku mmoja niliuona kama mwakaNilishawahi kufika, mbona ni pa kawaida tu,
Kuna watu wanaendesha maisha fresh, swala la dunian kwan wao wanaishi mbinguni?
Sema tulipewa moja hiyo ya kuondokea, sitaisahau loooh!
Ila Gamboshi ni kijiji km vilivyo vingine, mambo ya uchawi hata hapo ulipo yapo, ila hapako kama watu wanavyodai palivyo.
niliwahi kupita maeneo hayo nikitokea lamadi kuelekea bariadi miaka ya 98. nililala bariadi. ucku wa manane utasikia sautiza magari na watu. kiukweli ni mwangi wa sauti zaziwani victoria nasio mji ulijificha. nenda ulale bariadi ucku wa manane utaweza ku sikia hali hiyo. sio uchawiiNdio kwao nini?..
Uchawi upo kila sehemu ndyo ila si kama kule jamaa usiombe kule ndo wangesema waja leo warudi leo nililala siku moja kule usiku mmoja niliuona kama mwaka