Kwa Bank kama ACCESS BANK ni shida na jipu kubwa Africa Mashariki na duniani kwa ujumla, wana riba kubwa isiyoelezeka na wanakupa mkopo kiukaini sana lakini watu wana filisiwa mali zao haraka pasipo hata kufuata sheria, unajikuta unalipa mpaka mtaji wako wa biashara jwa jinsi riba ya mkopo...
nyie mnatumia nn kufikiri?this is free trade serikali inahusikaje?kama unapeleka hela zako mwenyewe na watu wanalipa kodi unataka serikali ifanye nini hapo?serikali can't think on behalf you have to think properly wewe na uchumi wako!
Kweli kaka na mm nimekaa greece mji unaitwa PIREUS na wabongo wengi kazi zao ni melini sasa boya anaongea bila kujua mpotezee mwana,sehem meli zinapotengenezwa panaitwa PERAMA daaa umeniremind mbali sana!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.