Recent content by Mpwa Upwani

  1. Mpwa Upwani

    Nchi 76 wanazoruhusiwa watanzania kutembelea bila ya viza

    Comoro unaingia kwa visa na ni Euro 30,mind you!
  2. Mpwa Upwani

    Balozi Kagasheki amtaka Kigwangalla athibitishe taarifa za yeye kupokea rushwa akiwa Waziri, Kigwangalla akana kumtaja

    Anaonyesha hana mawaaaa,nakumbuka aliachia ngazi instantly bungeni hakutaka mambo mengi!
  3. Mpwa Upwani

    Wanaume wote, ni sehemu gani unaipenda kwenye mwili wa mwanamke?

    Sasa kucha safi wewe zinakusaidia kitu gani?
  4. Mpwa Upwani

    Picha: Yericko Nyerere na muonekano wa kutinga na pensi katika kipindi cha Star Tv

    Daaa ndugu zangu mmenichekesha sana eti kavaa "PURU" ccm bwana, usijudge alichovaa pima madini anayotoa
  5. Mpwa Upwani

    Riba kwenye Mabenki ni Jipu kubwa sana

    Kwa Bank kama ACCESS BANK ni shida na jipu kubwa Africa Mashariki na duniani kwa ujumla, wana riba kubwa isiyoelezeka na wanakupa mkopo kiukaini sana lakini watu wana filisiwa mali zao haraka pasipo hata kufuata sheria, unajikuta unalipa mpaka mtaji wako wa biashara jwa jinsi riba ya mkopo...
  6. Mpwa Upwani

    Wananchi wa Tanzania na Sports betting

    nyie mnatumia nn kufikiri?this is free trade serikali inahusikaje?kama unapeleka hela zako mwenyewe na watu wanalipa kodi unataka serikali ifanye nini hapo?serikali can't think on behalf you have to think properly wewe na uchumi wako!
  7. Mpwa Upwani

    Harambee ya kuanzisha redio ya kiislam yapata million 2 tu kati ya million 320 walizopanga kukusanya

    Sasa kuna wakristo kwenye kile kikundi cha uamsho kule zanzibar??
  8. Mpwa Upwani

    Harambee ya kuanzisha redio ya kiislam yapata million 2 tu kati ya million 320 walizopanga kukusanya

    Wngine wana pesa za kununulia tindikali kuwadhuru watumushi na viongozi wa dini lakini sio kutoa sadaka,shame on you!
  9. Mpwa Upwani

    Bendera ya China kupelekwa mlima Kilimanjaro

    Nchi ya kitu kidogo
  10. Mpwa Upwani

    Ezekiel Maige: Kamati teule ilikuwa na kinyongo na Mimi

    Hana lolote jipya anajisafisha tuu
  11. Mpwa Upwani

    Ushahidi wa picha,watanzania wenzetu wavamiwa na kupigwa huko ugiriki

    Kweli kaka na mm nimekaa greece mji unaitwa PIREUS na wabongo wengi kazi zao ni melini sasa boya anaongea bila kujua mpotezee mwana,sehem meli zinapotengenezwa panaitwa PERAMA daaa umeniremind mbali sana!
Back
Top Bottom