Recent content by Mpinduameza

  1. M

    JamiiForums Tanzania Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

    Atapigwa mtu kama ngoma leo
  2. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nifanyeje, nahisi Mume wangu ameniwekea mtego wa kishirikina

    Tulia nae ufaidi na wewe mpe script za mazungumzo yake ya siku nzima shida iko wapi na hiyo privacy unayoitaka ili ufanye nini wewe hukujua ukiolewa unakuwa chini ya milki ya mwanaume? Sasa yeye kujua script yako huoni kama mmeo anaweza vutia watalii kifupi umelalia mgodi au siyo nduguzangu?
  3. M

    JamiiForums Tanzania Karamagi wa TICTS' ahaha kwa wahariri, wabunge

    Ni kweli kabisa hii ni nchi yetu hatuna pa kwenda lazima tuilinde nchi yetu kwa ghalama Mungu hawezi tuacha .
  4. M

    JamiiForums Tanzania Karamagi wa TICTS' ahaha kwa wahariri, wabunge

    Tanzania kwanza mengine baadae
  5. M

    JamiiForums Tanzania Marekani yapitisha sheria itakayotambua ndoa za jinsia moja

    Hawa wameonesha uchafu wao hadharani na tumewajua ni wafuasi wa shetani ila sio wote maana hata hapa kwetu uovu ni mwingi sana sema haujawekwa hadharani ndio tofauti kati yao na sisi , anayedhulumu haki ya mtu hana tofauti na hao mashabiki wa ibilisi tusijione watakatifu sana wanaomtumikia...
  6. M

    JamiiForums Tanzania Baba mdogo anakula kitimoto hadharani

    Kheri anayekula ktmt hadharani kuliko wanaojisifia kufanya ufuska hadharani kimasihara tena kheri huyo hana madhara kuliko kuwa na marafiki wanafiki ambao ukiondoka machoni pao sio lolote , nduguyo angekataa kula kuku sidhani kama ungekuja hapa nakushauri mind your business kile ukionacho bora...
  7. M

    JamiiForums Tanzania Waziri Mkuu Majaliwa, Wahudumu wa Ndege ya Precision Air wanasema Wao ndiyo Walifungua Mlango. Huyu Muokoaji ‘Majaliwa’ aliufungua upi?

    Upo sahihi neno asante lilitosha sana ukiona haujawa recognized ujue zamu yako bado hao wahudumu sio muda wa kuleta hyo maelezo ilhali marubani wao wameangamia watulie wamshukuru Mungu yatosha kijana majaliwa ndiye shujaa kwa sasa .
  8. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mume wangu hapendi ndugu zangu

    Pray for him .
  9. M

    JamiiForums Tanzania Wakuu Shemeji Yenu ana tatizo la Hormone imbalance /Mvurugiko wa Homoni, Tiba ni nini tafadhali?

    Hiyo mvurugiko ulitusumbua sana na ni baada ya kutumia vijiti vya uzazi wa mpango ndipo mauzauza yote hayo yakatupata ukiniuliza dawa kwakweli wife alimeza hadi tukachoka na miscarriage kama mbili hivi bado tukaambiwa shida ni hyo . In short prayer did the magic kama huamini ni wewe lakini...
  10. M

    JamiiForums Tanzania Unga wa ngano na unga wa ugali bei moja

    Kg 4000
  11. M

    JamiiForums Tanzania Wale mnaojidanganya na kujipa moyo kuwa Yanga SC leo anashinda huko Tunisia kutaneni hapa mtupe sababu zenu

    Absolutely Yanga sending sleepless nights to Bush men hahaaaaaaa what a night what a goal
  12. M

    JamiiForums Tanzania Club Africain 0-1 Young Africans | CAFCC Playoff | Yanga yatinga hatua ya makundi

    Usiku mbaya sana kwa watesi
  13. M

    JamiiForums Tanzania Wale mnaojidanganya na kujipa moyo kuwa Yanga SC leo anashinda huko Tunisia kutaneni hapa mtupe sababu zenu

    Eti akili kubwa hahaaaaaaa hv ina ukubwa gani vile mtateseka sana
  14. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ampiga mchumba wake risasi 10 za kichwa

    Mkuu Mshana tujifunze kama jamii kuwasaidia wahitaji bila kutarajia chochote kama shukrani kutoka kwao , hata kama watakuja fanikiwa sana kimaisha alama ulioweka kwao kamwe haitafutika ,neno ASANTE linatosha sana hata asiposema tulia mshukuru Mungu umefanyika daraja kwa wengine inatosha sana.
  15. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania MREJESHO: Simuelewi mume wangu

    Unataka kucheka lakini unajizuia moja ya sababu yaweza kuwa alicheza nje ya ulingo na amegundua mchepuko ana umeme sasa kapima maramoja anasubiri miezi 3 ipite ajiridhishe , usitumie force huo sio ugali kuwa asipokula atakufa no way.... jaribu tafuta physiologist aweza kuwa chini ya msongo...
Back
Top Bottom