Unga wa ngano na unga wa ugali bei moja

Unga wa ngano na unga wa ugali bei moja

Hivi watanzania wengi siku hizi wanakula na kushiba kweli?? Maana maharage tu kilo 3,800. Aya anunue mchele .mchele wa ovyo kabisa kg 1 2,500.bado mafuta ya kupikia bado gesi .hapo familia ni kubwa kilo moja haitoshi.na vipato ndo hivi.
Kg 4000
 
Sisi tusio na wapikaji huwa tunafanya hivi:
Chukua unga wa ngano kiasi Changanya na ute wa mayai na maji kiasi kulingana na mahitaji yako. Koroga pamoja hadi upate kimiminika. Kwa ufupi tunapika chapati za maji kwa mtindo huo. Haina kuumiza kichwa sijui kibao cha kusukumia .
Vizuri bachelor
 
Back
Top Bottom