Recent content by mpenja jr

  1. M

    Polepole: Wana-CCM tusikae kimya Serikali ikikosea, tuwe wakali na jasiri kukosoa

    Huyu jamaa nimegundua ni mnafiki, anatumia nguvu kubwa ili utawala wao uonekane ulikuwa mzuri, kumbe ndo kipindi ambacho ukikosowa unapotea
  2. M

    Ukiunganisha dot ndo utaelewa: Alitolewa Kakoko bandarini akatolewa Chamriho ujenzi, akatolewa Kalemani Nishati n.k

    Wakati wa mwenda zake mlilalamika, amekuja mama mnalalamika wa tz mnataka nini? Kwani kuona huo mkataba wa Bagamoyo hadi tuamini maneno ya mwendazake?
  3. M

    Naona hatari mbele, gari lipo mwendo wa kasi

    Roger roger check time check time nyosha maelezo, over
  4. M

    Uwepo wa Jehanamu ni habari za kutungwa

    Hakuna jehannam!! Ila duniani ukiiba unatupwa jela , ukiuza unga unanyongwa, ukiua unauliwa au unafungwa maisha, ila mungu alokuumba ww na kukuumbia kila kitu ukimuasi akuache tu au sio? Kasome vizuri ndugu yangu.
  5. M

    Kwa maoni yangu, neno Tanzia linatumika vibaya!

    Kwani ta a Zia unavyojua inamaana gani?
  6. M

    Mimi Kama Shabiki wa Dar Yanga SC nawatakia ushindi Azam FC dhidi ya Yanga SC

    Simba c kitu bila ya mo, kaduguda anataka pesa zake za chapati
  7. M

    Kilichomponza Tido Mhando ni uzalendo wake

    Namuonea huruma mzee Tido mhando kufanya kazi nchi hii shida angebakihukohuko mbele
  8. M

    Waraka maalum kwa Klabu ya Yanga: Hii hapa nafasi mpya ya kujikomboa kifedha

    Sasa mbona hujaelezea yanga inatakiwa ifanye nn au njia gani kujikomboa ulichofanya kumpaka matope manji tu mm nadhani ww ndo wale wale tu
  9. M

    Uume mkubwa umekuwa kero

    Dah pole sana , swali kwenu wadada mnataka nn? Kibamia au mashine mnatusumbua sana jamani
  10. M

    Rais Trump ni mbaguzi wa rangi, ayaita mataifa ya afrika MACHAFU

    Ndo wakati wakutulia nyumbani kwetu maana jirani keshasema sisi wachafu msimchfulie sebuleni kwake.
Back
Top Bottom