Tanzania ya Mwalimu Julius Nyerere sasa inabadilika kwa kasi ya ajabu; unatoka kuwa nchi ya amani na sasa inagubikwa na matukio ya mauaji ya raia kila uchao.
Kibaya zaidi wanaouawa siyo vibaka. Ni viongozi wa vyama vya siasa, hasa kutoka vyama vya upinzani.
Pia wanaouawa, kutekwa na kupoteza au kuuawa ni waandishi wa habari. Inasikitisha sana.
Inashangaza mno kuwa mauaji na mateso haya, hayana majibu kutoka vyombo vya usalama, hatua ambayo inatia shaka kuwa ukimya huo hauna siha njema kwa vyombo hivyo, kiasi cha kuonekana kinahusika na matukio haya.
Tujiulize, nani wanaua Watanzania wenzetu? Tunamsubiri Nani auawe ndiyo tushituke na kupaza sauti?
Naililia Tanzania yangu..
Kibaya zaidi wanaouawa siyo vibaka. Ni viongozi wa vyama vya siasa, hasa kutoka vyama vya upinzani.
Pia wanaouawa, kutekwa na kupoteza au kuuawa ni waandishi wa habari. Inasikitisha sana.
Inashangaza mno kuwa mauaji na mateso haya, hayana majibu kutoka vyombo vya usalama, hatua ambayo inatia shaka kuwa ukimya huo hauna siha njema kwa vyombo hivyo, kiasi cha kuonekana kinahusika na matukio haya.
Tujiulize, nani wanaua Watanzania wenzetu? Tunamsubiri Nani auawe ndiyo tushituke na kupaza sauti?
Naililia Tanzania yangu..