Kila lenye mwanzo lina mwisho wake pia either uwe mzuri au mbaya.JF ina member wengi nje ya tanzania ambao pia ni wachangiaji wa mijadala hapa.Mwisho wa hii vita sio mzuri kw member sisi wote.
Mi huwa napata shida sana nikikutana na nyie mnaosema magufuli ni mtu wa maadili na mchapa kazi! Hebu nipe fact zako 2 tu zinazikufanya umpigie kura yako magufuli!(andika point pls sio matusi wala kejeri)
Ndugu mtoa mada!nadhani kuja kwa Lowasa ukawa ni sahihi.mpaka sasaiv lengo kubwa la mabadiliko tunayotaka sio tu lowasa kuwa rais bali tunataka mfumo mzima wa serikali kubadilika,Leo hii incase magufuri akiwa rais mfumo uleule wa ccm na mawaziri na manaibu na makatibu wakuu na wakurugenz wote...
Msamehe Na muombee kwa muumba amsamehe pia!kwn ni shetani alimpitia tu!ila fikilia sababu gani ilimfanya akatoka nje ya ndoa,isijekuwa wewe ndo chanzo cha tatizo hilo.Na usipompa K ujue unampa chance secretary kumalizia Kitandani kabisaaaaaa!pole sana Lakini.
Kila nchi kuna taratibu zake za kupata leseni Kama angeenda driving schools Na kupewa cheti asingepewa hilo likaratasi,yeye kataka shortcut Na amepewa alichokitaka.Hayo ni mapungufu ktk wizara husika,lkn huwezi wahukumu watu wote eti ni wabaguzi.Kila mtu anayo mapungufu yake lakini si wote,wapo...
Pole Kwa yalokukuta kaka,ukiwa bara ni vigumu kujua matatizo yaliyopo ktk muungano huu,Mimi nilipoingia Zanzibar-Pemba yapata miaka 6 iliyopita sikujua Kama muungano una matatizo yake,
Suala la Leseni ni kweli wanazo Leseni zao za smz za kadi zilizoanza tolewa takribani miaka kumi iliyopita,sisi...
Inategemea unaenda pemba mkoa gani!Kama ni chakechake kuna guest house iitwayo Pemba lodge,njia ya tibilinzi,ni 35000 per. Day.ni nzuri.Na kuna Pemba misari hii ni dola 100 per day,
Kama unaenda Wete unaweza fikia Farouq lodge ni 30000 per day.
Karibu sana ktk kisiwa cha karafuu,
Sent from my...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.