Ni Hotel/decent guset house gani nzuri pemba?

Ni Hotel/decent guset house gani nzuri pemba?

Submissive

Member
Joined
Sep 19, 2012
Posts
73
Reaction score
21
Habari wana JF.
Ninasafiri kikazi kwenda Pemba, naomba kama kuna mtu anayejua normal hotel or decent guest ambayo naweza kukaa aniadvise. Sijawahi kabisaa kufika huko kwenye visiwa vya karafuu. Chondechonde wasije wakani Fr. Mushi.
 
Inategemea unaenda pemba mkoa gani!Kama ni chakechake kuna guest house iitwayo Pemba lodge,njia ya tibilinzi,ni 35000 per. Day.ni nzuri.Na kuna Pemba misari hii ni dola 100 per day,
Kama unaenda Wete unaweza fikia Farouq lodge ni 30000 per day.
Karibu sana ktk kisiwa cha karafuu,

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Ni kweli useme unaenda wapi yakhe, Pemba kubwa ati. Halafu sio kama Dar kwamba wataka kwenda Chakechake ufikie Wete mara nyingine usafiri jioni hamna itakugharimu utumie private au taxi. Taja eneo husika ili utajiwe hotel ziko nyingi tu.
 
Nashukuru sana kwa maoni, naenda town kabisa, sijajua ni wete au, ila nataka iliyo karibu na airport. Nitaangalia hizo mlizotaja.
 
Chakechake ndo mjini zaidi na ndo uwanja wa ndege jirani tu. Ukifika utapata tu chukua taxi utachagua mwenyewe na mfuko wako
 
Nashukuru sana kwa maoni, naenda town kabisa, sijajua ni wete au, ila nataka iliyo karibu na airport. Nitaangalia hizo mlizotaja.
Chake hiyooo, nimeondoka kitambo kidogo; lakini anyway kwa uzoefu usikae hotel zilizo karibu kabisa na barabara, nikimaanisha pale chake kwenye maofisi na banks, kuna kelele nyingi(japo sjui kama siku hizi bado zipo). Nenda katafute hotel iliyo njia panda ya kwenda wesha/vinu vya umeme, just turning left karibu na kiwanja cha mpira bondeni kidogo, kuna hotel nzuri maeneo hayo na zimetulia tofauti na chake mjini kabisa.
 
sijui kwa nini nikiendaga visiwani.....usiku nakuwa muoga sana.........hivi huwa kuna kitu.....?
 
Kila la heri

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Mkanyageni hotel 20000 per day

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Habari wana JF.
Ninasafiri kikazi kwenda Pemba, naomba kama kuna mtu anayejua normal hotel or decent guest ambayo naweza kukaa aniadvise. Sijawahi kabisaa kufika huko kwenye visiwa vya karafuu. Chondechonde wasije wakani Fr. Mushi.
We una wasiwasi wa kuku FR. Mushi? ...
Ogopa nanihii mkuu, unaweza pasuliwa yai, au ukawa unapigwa vibao kila baada ya nusu saa.

On a serious note, beba cheti cha ndoa kama unacho, just in case ... ooh, and behave.
 
Kule amani tupu na ukifika ndo utaona ukarimu wa watu wa huko ,sio km bongo kuuliza buku kupelekwa buku mbili ukibebewa mzigo buku tano kule vyote hivyo n bure tu ,km hujui falsafa ya ujamaa nend pemba utauona ujammaa unavyopractice
 
Back
Top Bottom