james katto
JF-Expert Member
- Sep 1, 2013
- 385
- 128
Huna jipya!
Tunataka pesa zetu
MBOWE RUDISHA HELA ZETU:
Sisi kama wana ukawa tuna haki ya kuuliza mapato na matumizi ya hela tulizochangia!MBOWE kama umeshindwa kutoa hesabu ya fedha tulizochanga na matumizi yake,tunaomba uturudishie!Watanzania tumeshtuka
Ww ni CCM sio ukawa
MBOWE RUDISHA HELA ZETU:
Sisi kama wana ukawa tuna haki ya kuuliza mapato na matumizi ya hela tulizochangia!MBOWE kama umeshindwa kutoa hesabu ya fedha tulizochanga na matumizi yake,tunaomba uturudishie!Watanzania tumeshtuka
Ipo mkuu inakuja
Wanaiita opereshen funga kampen
Kuelekea mabadiliko
Jmn neno mabadiliko limetajirisha sana watu
Makamanda wenzangu tusiwe mazuzu namna hio
Hata kama viongoz wetu wanatumia nguvu za giza ili watutawale
Zito alijifanya kuhojihoji vitu kaka,angalia leo alipo!!Waliobaki ndani ya chama ni mamburura na ndio maana waliambia wasiongee ishu za ufisadi na wakakaa kimya hadi leo!!