Recent content by mpatto

  1. mpatto

    Kuzaliana kunamsaidia nini kiumbe anayezaa?

    Sawa, na ofcoarse ni kweli kabisa unavyosema! Lakini, swali la mleta mada ni je, jambo hilo lina faida gani kwa mzaaji!?
  2. mpatto

    ANGALIA OMBAOMBA HUYU ANAVYOCHOKONOA WENYE DINI

    Pato kutoka weed smoking [emoji1787][emoji1787] kweli ni wavuta bange !!
  3. mpatto

    Mahakama yatupilia mbali mapingamizi ya utetezi, maelezo ya Mohamed Lingw'enya yapokelewa na Mahakama. Kesi kuu kuendelea Des. 15, 2021

    Hata ile ya jana, nimetafuta sana linki yake lakini sijaipata. Leo sijui kama ipo au haipo! Nilidhani nipo peke yangu ambaye tangu tarehe 14 sijui ynayoendelea
  4. mpatto

    Mahakama yatupilia mbali mapingamizi ya utetezi, maelezo ya Mohamed Lingw'enya yapokelewa na Mahakama. Kesi kuu kuendelea Des. 15, 2021

    Jamani mwenye link ya yaliyojili jana kwenye hii kesi tafadhali ashee na mimi hapa! Natanguliza shukrani!
  5. mpatto

    MASWALI YANAYOTESA WANA JF

    Mkuu, hayo ni maswali yako, sidhani kama ni kweli maswali hayo yanatutesa wana JF. Wengi wetu sisi wana JF tunateswa na swali la, "Nitapata wapi hela leo?" Anyway, Nitasaidi kidogo kujibu swali la kwanza! Tujifunze na kufahamu kwanza, 1 ni nini, 2 ni nini na 11 ni nini. Lakini pia alama + ni...
  6. mpatto

    Story time: Amfuata mwanamke Sweden kutoka India kwa baiskeli

    Rashidi kichwa wazi akikasirika, mbona hata hiyo bado ni safari fupi sana!! Hahaaa!! Kidding bhana... Ila hakika huo ni upendo wa ajabu sana, na kwakweli unapompenda mtu kwa dhati, unakuwa upo tayari kufanya lolote kwa ajili yake!! Asante kwa stori mkuu!!
  7. mpatto

    Cricket Insect ni edble insects kwa matumizi ya binadamu

    Hawa niliwaonja kipindi kile nipo Rutabo Seminary, Bukoba! Hakika ni watamu kama senene au kumbikumbi
  8. mpatto

    Naomba kujuzwa kazi ya vidonge viitwavyo Viviani?

    Vidonge vile ni ant-pain, hutumiwa kuondoa maumivu, ila maumivu yakizidi muone daktari!
  9. mpatto

    Tunang'arisha Masinki ya choo Mbeya

    Kama sink la choo ni moja, na hakuna tiles, pia umbali kutoka uyole mpaka site ni 6000, Je bei itakuwa hiyohiyo 5000!? Au usafiri ni juu yangu!?
  10. mpatto

    Nyimbo gani umeshawahi kuzisikiliza 'non-stop' zaidi ya siku mbili?

    Wimbo wa jirani, ulioimbwa na Awilo wa Mbeya!
  11. mpatto

    Gari gani hili

    Jeep ya kijeshi hiyo
  12. mpatto

    Mrejesho: Kilichotokea baada ya mke wangu kurudi saa sita usiku

    Pole.sana kaka!! Lakini kama ulivyosema, umefanya naye mambo mengi, na mna watoto wawili ambao ni wadogo, endelea kutumia busara ndugu yangu, Mungu akuongoze!!
  13. mpatto

    Watu na tamaduni zao!

    Papua New Guinea
Back
Top Bottom