Haijalishi, iwe ni wanchama wa CDM kurudisha kadi, au CCM kupata wanachama wapya, jambo la msingi hapa ni dhahiri kuwa CCM imeshindwa kuendesha nchi. Huhitaji kuwa na degree ili kulitambua hilo!
Na ni vema ikafahamika kuwa, kuifikia hiyo 2015 mnayoitaja kwa hali ya sasa si kitu ndogo, pana kazi...