Recent content by MpajiGiva

  1. M

    Salamu ya Lowassa kwa wananchi ni kejeli?

    Maana yake CCM out,UKAWA in!
  2. M

    John Pombe Magufuli ni pandikizi la CHADEMA?

    Kitendo cha ccm kuchakachua katiba ya wananchi tu kinatosha kuuthibitisha unyonyaji wao,imebaki kutunyonya damu tu,kura kwa lowasa,delete ccm!
  3. M

    Wakina Dada usiumize kichwa, sio kila mwanaume anacheat kwasababu

    Hakuna uhusiano kati ya kumpenda mtu na kumcheat!
  4. M

    Hivi kwanini kila ninachokifanya mke wangu haridhiki?

    Muoneshe mapenzi ya kiwango cha juu kadiri uwezavyo huku ukitafuta gheto hapo hapo mtaani hakikisha siyo mbali na nyumbani then panga but usiache kuwahudumia wanao.mwanamke hapigwi mangumi na mateke braza ulikosea sana unampigaje mwanamke physically bwana?
  5. M

    Hivi kwanini kila ninachokifanya mke wangu haridhiki?

    Duh! natamani niwe wewe nifanye maamuzi yatayoshangaza ulimwengu! huyo mwanamke angefurahi nakwambia!
  6. M

    Huyu ndiye Bishop Kakobe, mpakwa mafuta wa Bwana

    umempima kwa vigezo gani?
  7. M

    Msimamo wetu sisi CHADEMA asilia

    Tunatawaliwaje na chama kimoja miaka hamsini bwanaaaa.DELETE CCM TUIJENGE TANZANIA MPYA!
  8. M

    Msimamo wetu sisi CHADEMA asilia

    Kwa hiyo unataka kusema hujui kuwa watz wameichoka CCM na MFUMO WAKE PAPA WA KIFISADI hivyo wanahitaji mabadiliko? Alikuwa sahihi kuchukua fomu kwa sababu hakuwa na sababu ya kuhama CCM.Kwa sasa cha msingi ni kuing'oa CCM na MFUMO WAKE WA KINYONYAJI then mengine baadae angalau tuokoe...
  9. M

    Huyu dada nimfanye nini wadau?

    kwa vyovyote vile wewe sio mwalimu!
  10. M

    Nahisi mpenzi wangu ana govi

    vya kuambiwa changanya na vyako pia muogope sana mtu anayekwambia faida za jambo fulani tu bila kukwambia hasara zake watu wanabuni mbinu za kupiga hela pengine bila kujali utu.Sijawahi kusikia kampeni za kutangaza hasara za tohara ila nasikia kampeni za faida tu NINA MASHAKA NA HII KAMPENI!
  11. M

    CHADEMA waibuka na style tofauti

    Uko sawa kabisa nadhani wanaUKAWA hawajashtuka kuwa kuna wanaCCM wametumwa humu kuleta chokochoko za kujifajiri na kuwafariji wenzao wasihame chama mwanaUKAWA SHTUKA usipoteze muda wako bure zaidi dumu ukimwomba Mungu akujalie UZIMA hadi tarehe 25 octoba angalau tuokoe rasilimali zilizosalia kwa...
  12. M

    Lowassa aiweka nchi rehani

    Masikini CCM ing'atuka hairudi tena!
  13. M

    Lowassa aiweka nchi rehani

    Mwambie huyo huo uzushi akafie nao hukoooo,DELETE CCM
  14. M

    Lowassa aiweka nchi rehani

    oyooooooo uko sawa ndugu DELETE CCM
  15. M

    Lowassa aiweka nchi rehani

    una roho ngumu!
Back
Top Bottom