Upendo, heshima, uvumilivu na tabia ya kweli ya mke/mchumba hujulikana pale mchumba/mume anapostruggle kufanikiwa au pale mume anapotetereka kiuchumi.
Sasa hivi ndo unaona tabia halisi ya mkeo. But all in all don't let her bitterness weakens you/your life. Muache hivyo hivyo na dharau zake, ipo siku atakuheshimu tena kwa magoti.
Concentrate na duka lako, tena Jitahidi usiwe unakaa naye sana manake utasikia kebehi zake. Endelea kumjali na kuwajali watoto wako, uzuri watoto wana macho na wanaona kinachoendelea, so siku zote heshima na upendo wao kwako utabaki pale pale. Heshima ya mwanaume ni kazi, so Piga kazi, Mungu atakuinua tena
Huyo rafiki wa mkeo hata usiwaze kabisa kuwa nae. Sasa hivi upo so down, hivyo mtu yeyote ayakayeonesha kukutia nguvu ( anaboost confidence yako) unaweza ukahisi unampendaaa, kumbe sio upendo maybe ni huo upweke ulionao as mkeo ni kama anakutenga. Mungu akusaidie na akuinue, huyo mkeo Mungu atadeal naye sawasawa na atakavyoona. Mmh kweli watu hatujui thamani ya kitu hadi kiondoke, huyo mwanamke sijui anataka Mungu ampe nini khaaa
Nakubaliana na wewe 100%