Lowassa aiweka nchi rehani

Lowassa aiweka nchi rehani

Mimi nikikuta muuza mihogo ya kuchoma anafungia vijigazeti kama hivi hata mihogo yenyewe sili
Umetoka kuwa mtoto wa fisadi mpaka muuza mihogo? Maana wewe tunakujua ni mtoto wa mafisadi.
 
Umetoka kuwa mtoto wa fisadi mpaka muuza mihogo? Maana wewe tunakujua ni mtoto wa mafisadi.

Utajaza mwenyewe maana watoto wa mafisadi wanajulikana na sasa wameshaanza kuuza vituo vya mafuta walivyokuwa wanamiliki kwa fedha za escrow na epa
 
Huu si mwaka wa mashetani kusherekea ushindi. Apandacho mtu ndicho atavuna. Watanzania hawadanganyiki kwa mavazi wala vyakula na vinywaji vya rushwa
 
Vijana wa ccm na vyombo vya habari vya ccm akili zao zimemfanania nape kuropoka tu bila hata kuwaza cha kusema

lowassa atawatishiaje wafanya biashara? Uliwahi kusikia wapi akiongea ovyo kama magufuli na nape? Lowassa ni mtu mstaarabu hana tabia ya kijinga kama yenu
 
Haki utumwa ni mbaya sana yaani hata uongo hamjui kutunga?wewe umemuona kwako akikuomba pesa?kuna ndugu yako ameombwa pesa?unaushahidi upi?yaani ccm wamekosa pakutokea sasa imekula kwenu
 
Mbona mikutano yake yote haina watu, wangemsaidia wasanii na kumwezesha malori ya kusomba watu toka vijijini angalau mikutano yake ipate hadhi hata kama mbunge tu
 
Kumbe kasema atawapa wafanyabiashara wa tanzani vitalu vya gesi, huyo ndio saafi sasa kuliko angewapa wachina, lowasa oyeeeee
 
Nilijua tu kuna siku nitakutana na uzushi wa namna hii,kawaambie waliokutuma HATUDANGANYIKI NG'O,tunasubiri tar 25 octoba angalau tuokoe rasilimali zilizosalia! DELETE CCM!
 
Haki utumwa ni mbaya sana yaani hata uongo hamjui kutunga?wewe umemuona kwako akikuomba pesa?kuna ndugu yako ameombwa pesa?unaushahidi upi?yaani ccm wamekosa pakutokea sasa imekula kwenu
oyooooooo uko sawa ndugu DELETE CCM
 
Vijana wa ccm na vyombo vya habari vya ccm akili zao zimemfanania nape kuropoka tu bila hata kuwaza cha kusema

lowassa atawatishiaje wafanya biashara? Uliwahi kusikia wapi akiongea ovyo kama magufuli na nape? Lowassa ni mtu mstaarabu hana tabia ya kijinga kama yenu
Mwambie huyo huo uzushi akafie nao hukoooo,DELETE CCM
 
Huu si mwaka wa mashetani kusherekea ushindi. Apandacho mtu ndicho atavuna. Watanzania hawadanganyiki kwa mavazi wala vyakula na vinywaji vya rushwa
Masikini CCM ing'atuka hairudi tena!
 
Back
Top Bottom