Mungu ambariki na kuendelea kumpa moyo wa Uvumilivu!.
Kwa hakika atakuwa amepitia mengi mpaka sasa!
Kubwa ni kwa vipi tumefikia hapa na mbeleni kunajipi ya kujikwamua nalo?
Je TISS isukwe upya? Maana kwa sasa inavyoonekana Siasa imekompromise Hadhi na Misingi ya Taasisi!
Kumbe Mama anajua kuna chuki. Basi anafaa kutumia Namba 2 yake kuweka mambo sawa! Ni wakati mama wa kwanza kuijenga Jamii yake! Kupitia nafasi yake VIP achukue hatua ya kuiepusha Zanzibar na 2000/2001 incident. Kupitia Mzee karume Serikali ya Ummoja wa Kitaifa ifufuliwe kuelekea 2019-2020. Na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.