Recent content by Moussa21

  1. Moussa21

    Wajuzi hapa nifanyeje maana ishakua tatizo, Nimeinstall window 7 gem linagoma

    kwa case ya missing drivers download kwa kutumia simu yako au weka mode then download installer inaitwa driverpack solution
  2. Moussa21

    Tatizo lolote la PC/device

    betri ya pc ikifa inaweza kupona?
  3. Moussa21

    Vodacom Tanzania msinizoee kabisa

    Hiyo ngumi ya kichwa
  4. Moussa21

    Shetani na wafuasi wake wanapojigeuza na kujifanya malaika

    Mungu mwenyewe atakuwa pamoja nao. Naye atafuta kila chozi kutoka katika macho yao, na kifo hakitakuwapo tena, wala kipigo, wala KILIO, wala mafuriko, wala maombolezo wala kilio wala maumivu hayatakuwapo tena. Ufunuo 21:3,4
  5. Moussa21

    Nataka kuanza ufugaji wa kuku wa kienyeji

    Nataka kuanza ufugaji wa kuku wa kienyeji. Ningependa kushuhudia ufugaji wa wengine unavyoendelea na kupata ushauri kutoka kwa mfugaji mwenyewe ili niweze kujifunza vizuri zaidi, Tafadhali kama kuna mfugaji wa kuku wa kienyeji aliepo Iringa naomba tuwasiliane apa chini. mussah1993@gmail.com
  6. Moussa21

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    mawaza yatafanya ufanye maamuzi ya ajabu
  7. Moussa21

    Msaada kuhusu Verification Certificate inayopatikana kwenye Ajira Portal

    kwaiyo mnamaanisha vyeti vyangu vyoote nilivyopewa havijawa certified mpaka niende kwa mwanasheria.
  8. Moussa21

    Nafasi 92 za ajira Serikalini - TANESCO

    AU NDO HII RECRUITMENT PORTAL WAKUU
  9. Moussa21

    Nafasi 92 za ajira Serikalini - TANESCO

    KWA MFANO NATAKA KUTUMA TANESCO ADDRESS NAIPATAJE
  10. Moussa21

    Kwanini VETA inachelewesha vyeti vya wahitimu?

    sasa wanadai vyeti vya kazi gani? na mbona ambao hawana vyeti wanaondolewa makazini..???
  11. Moussa21

    Kwanini VETA inachelewesha vyeti vya wahitimu?

    hivi VETA mna matatizo gani??? Inawachukua mwaka mzima mpaka kutoa vyeti kwa wahitimu wenu. Hamuoni kama tunarudishana nyuma? Mtu anamaliza level 3 mwaka 2017 anasubili cheti mpaka 2019 kweli? Au Nyie mko nje ya wizara ya elimu mseme. au hamjapewa kipaumbele.. Attachments: VETAPIC.jpg File...
  12. Moussa21

    Kwa utaratibu huu VETA mnapunguza kasi ya muheshimiwa raisi.

    inaonekana raisi hana kabisa hizi taarifa
  13. Moussa21

    Kwa utaratibu huu VETA mnapunguza kasi ya muheshimiwa raisi.

    hivi VETA mna matatizo gani??? Inawachukua mwaka mzima mpaka kutoa vyeti kwa wahitimu wenu. Hamuoni kama tunarudishana nyuma? Mtu anamaliza level 3 mwaka 2017 anasubili cheti mpaka 2019 kweli? Au Nyie mko nje ya wizara ya elimu mseme. au hamjapewa kipaumbele..
  14. Moussa21

    Lipuli yafanikiwa kurudi ligu kuu ya Tanzania (VPL)

    Aaaaaaaah pakaye panofu isala isi
  15. Moussa21

    KIPIMO!!!

    Hahahaaa....wap mkongojo
Back
Top Bottom