Ushimen
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 37,201
- 85,303
Watu hawa hujifanya wema sana machoni na mbele za watu wengine, na huendelea kujigeuza mwenyewe kuwa malaika wa nuru. Kwa hiyo si jambo kubwa kama wahudumu na wafuasi wake shetani wakiendelea pia kujigeuza wenyewe kuwa wahudumu wa uadilifu. Lakini mwisho wao utakuwa kulingana na matendo yao.
2 Wakorintho 11:14,15.
Mungu mwenyewe atakuwa pamoja nao. Naye atafuta kila chozi kutoka katika macho yao, na kifo hakitakuwapo tena, wala kipigo, wala Corona, wala mafuriko, wala maombolezo wala kilio wala maumivu hayatakuwapo tena. Ufunuo 21:3,4.
2 Wakorintho 11:14,15.
Mungu mwenyewe atakuwa pamoja nao. Naye atafuta kila chozi kutoka katika macho yao, na kifo hakitakuwapo tena, wala kipigo, wala Corona, wala mafuriko, wala maombolezo wala kilio wala maumivu hayatakuwapo tena. Ufunuo 21:3,4.